guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
Naomba kujuzwa hatua za kufuata nikitaka kununua pesa za kigeni kwenye mabenki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👏 👏Nenda benki na cash waambie nataka kununua dola, wanakuuzia kulingana na rate za siku hiyo ,mfano CRDB wao watakuuzia kwa rate ya 1USD ni sawa na Tsh 2349.00View attachment 1528563
mkuu naruhusiwa kununua kuanzia mathalani dola ngapi!í ½í± í ½í±
Limit sifahamu, nenda bank au wapigie kwanza bank husika unayotaka kwenda ili uconfirmmkuu naruhusiwa kununua kuanzia mathalani dola ngapi!
Shukrani,Limit sifahamu, nenda bank au wapigie kwanza bank husika unayotaka kwenda ili uconfirm
Kama unataka kubadili USD to Tsh, means 1USD bank watainunua kwa Tsh 2319Shukrani,
Swali la mwisho,hapo kwenye buying ningependa kupata ufafanuzi kidogo
"hawatoniomba nyaraka yeyote ile?"
Nenda na kitambulisho, na kama unataka dollar mingi chukua documents ambayo ita-support wewe kuuziwa(mfano: manunuzi ya kitu or vitu, or unataka kusafiri ama unauguza mtu so ni malipo ya bili ya hospital). Bila hivyo utauziwa dollar cheche tu.
Nenda na kitambulisho cha mpiga kura/ NIDA kama huna kitambulisho Huwezi kuhudumiwaproxy
hawatoniomba nyaraka yeyote ile?
Nashukuru sana,Swali kidogo nje ya mada,hv mfano nikizinunua hizo sarafu,mathalani KES,afu siku nikiamua kuwauzia tena benki kuna faida yeyote nitakayoipata?
Najibu ifuatavyo kwa uelewa wangu.
Kwanza KES(Kenya Shillings kwa sasa benki hazipokelewi. Benki Kuu ilisimamisha... Kulikuwa na mabadiliko ya fedha kule kwao. Kutoa noti za zamani na kuanza kutumia noti mpya, sijui kama ilo agizo limeshabadilishwa au la)
Mara nyingi ukienda kununua Hizi pesa za kigeni benki utauziwa kwa bei kubwa kidogo. Fanya uchunguzi wa benki zote nchini, bei ya kununua na kuuza zinakautofauti . Ukipeleka pesa ya kigeni kuuza katika benki zetu hizi... bei watakayonunulia itakuwa chini kuliko bei ya wewe utakayoenda kunua pesa ndani ya benki.
Kupata faida inawezekana iwapo kutakuwa na uhaba wa pesa za kigeni nchini. Hii itazilazimu benki kuongeza bei yao ya kununulia. so iwapo ulinunua kwa bei ambayo ni kubwa kuliko hiyo ambayo benki ina nunua pesa kwa wakati huo then utapata faida.
forex siamini hata kidogo.Biashara hii ni ya kizamani sana,technology imetuleta fursa nyingine ya kutrade forex kama mbadala wa kufanya hivo unavyotaka kufanya.