Naomba kujua utaratibu wa kupata fremu na gharama zake Mwenge

Naomba kujua utaratibu wa kupata fremu na gharama zake Mwenge

Chance ndoto

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2017
Posts
4,363
Reaction score
10,265
Habari za wakati huu Wanajamvi wenzangu.

Mimi ni mfanyabiashara, sasa Naamini humu kuna wafanyabiashara, au waheshimiwa wahusika wa maeneo ya mwenge.

Ningependa kujua yale majengo mapya, maduka mwenge ,utaratibu gani unatumika kupata fremu pale, na je! Gharama zake zipoje?

Ningependa kujua maana nimezoea kuona watu huwahi fremu kama zile kabla ya kumalizika.
Naomba kuwasilisha.
 
Fremu za uchochoroni ni sio chini ya laki 2 zile kubwa hizo za kwenye barabara ni kuanzia 300
 
Zile frame nafikiri hazijaanza kuuuzwa au kumilikwisha kwa watu, ika ujenzi wake bado umesimama kwa muda sasa. Tujipe muda ujenzi ukianza tutakua na majibu sahihi toka halmashauri.

Kama lengo ni kukaa mwenge hivi sasa kuendesha shughuli zako, unaweza kwenda pale lugalo ukisubiri uku mradi uanze.
 
Zile frame nafikiri hazijaanza kuuuzwa au kumilikwisha kwa watu, ika ujenzi wake bado umesimama kwa muda sasa. Tujipe muda ujenzi ukianza tutakua na majibu sahihi toka halmashauri.

Kama lengo ni kukaa mwenge hivi sasa kuendesha shughuli zako, unaweza kwenda pale lugalo ukisubiri uku mradi uanze.

Lugalo wameanza kuuza?
 
Huku fremu elfu 20
Kijiji gani hicho mpaka leo frem ni 20,000 maana nimetembea vijiji vya porini kabisa lakini unakuta frem ni 40,000 na zile zilizochangamka sana unakuta bei inaenda mpaka 100,000+, manispaa na majiji mengine tofauti na Dar ni 50k - 500k sasa hyo 20k sijui ni wapi
 
Back
Top Bottom