makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Afadhali huyo kaka, hata next time akiomba muazime wengine ni sorry tu kaka.Mi juz kat mshkaj kabunja taa ya nyuma ya ist yangu kanunua kafunga kabisa ila nimemind yangu mtumba kaweka la dukan dah
Sio kidogo mkuu bali ni sana. UK product zipo njema sana. Niliwahi kushauriwa na ndugu RRONDO juu ya hii gari toka UK, ilikuwa ni sport pia, kiukweli sikuwahi kujuta.Nimebahatika xtrail ya GB iko tofauti kidogo na japan, speed tu 220, engine yd22 diesel.
Pole chief.Sio kidogo mkuu bali ni sana. UK product zipo njema sana. Niliwahi kushauriwa na ndugu RRONDO juu ya hii gari toka UK, ilikuwa ni sport pia, kiukweli sikuwahi kujuta.
Gari ilikuwa inashika barabara mpaka raha. Kwa safari ndefu ilikuwa poa mno. Ilikuja kuleta shida iliyosababishwa na rejeta kupoteza maji, nikajichanganya kuchukua engine complete toka Japan beforward na hapo ndio ukawa mwisho wa kuenjoy ile gari. Ikapoteza nguvu kabisaaa.
ngoja nimpekue tena mkuu
I like it.Aisee katika mambo ya ovyo niliyokutana nayo wiki hii hii ni moja wapo..
Huwezi kututaja WaTanzania kuwa hatuna weledi.. Sema wewe na familia yako hamna weledi.. Tanzania Taifa kubwa kaa mbali na sisi..!
Blood of Jesus ameulizia utofauti wa Manual na Automatic.. Akaongezea kwenye Rav4..
Wadau wametoa tofauti mbali mbali.. Lazima kuna kitu amepata..!
Wewe hujasema faida au hata hasara moja.. Unalaumu tuu..!
Unasema kwenye platforms atapata maelezo ya kitaalamu..! Hii JamiiForums sio platform!!?
Huo ndio weledi unaozungumzia!!?
Yeye kaamua kupita ruti ya JamiiForums.. Na humu wataalamu wapo wengi tuu.. Hata kama kuna pumba ila bado hawezi kukosa madini..!
Jifunze kuwa na heshima na Wa🇹🇿...!
Mwaka 2021Hivi hizo jimny mpya zimekaa kama box sh ngap
Zipo. Ila ni watu wachache sana wanatumia zaidi ya operator mmoja.Ni kweli kabisa, sijawahi kuona simu ya laini mbili huko.