Naomba kujua utofauti uliopo kati ya gari "manual" na "automatic" kifaida na kihasara. Na pia naomba kujua kiundani kidogo dondoo za RAV 4 manual

Naomba kujua utofauti uliopo kati ya gari "manual" na "automatic" kifaida na kihasara. Na pia naomba kujua kiundani kidogo dondoo za RAV 4 manual

Mtu anayehangaika kuendesha gari manual hasa private car miaka hii ni wale watu wanaoishi nyuma ya muda.......kwa sasa watu wapo kwenye teknolojia ya gari ambazo zinajiendesha zenyewe bila hata dereva kugusa sterling, leo hii mtu anajisifia kuendesha gari manual?

Siku hizi hata ndege unaweka kwenye autopilot na rubani anaweza kupiga usingizi kama abiria wengine......na inakoelekea ndege zitakuwa zinaendeshwa kutokea ardhini kwenye control room.
Jombaa kuna aina ya magari manual ndio yananunulika zaidi hata kampuni huwa zinaweka uwiano sawa wa uzalishaji wake. Mf. mzuri ni Suzuki Jimny (2018 ~ up to now).

Mimi nimenunua kamoja muda sio mrefu hutu tugari manual vinaisha haraka sana tena hapa hapa bongo tu. Uzuri wa Jimny manual yake ni cheap zaidi kwa tofauti ya milioni 7 na auto yake.
 
Manual raha sana....5speed manual...speed 70 nishamaliza gia kitambo sana rpm chini ya mbili huko...inaenda ikipanda taratibu hadi inafika 120 gia ile ile..mliman naiforce gia nayotaka ...naweza kuwa na 3 nikajarbu weka nne😋 Ngoma inapanda badae hadi inasinzia napiga moshi tatu nashusha moja mwendo mdundo
Hahaha sure aisee.. Manual unafanya majaribio kirahisi.. Ni fun kupiga gia aisee..!
Tofauti na Auto.. Life span yote ya gari unaweza kuishia kutumia P R na D tuu..!
 
mimi nakubaliana na wengi kuwa, Gari za Manual ni technoligia ya ZAMANI na tuendako zinapungua sokoni kila siku.
Mf: hata kwa sasa kwa magari mengi MAPYA, gari ya manual ni bei poa kuliko gari za automatic
Na kwa wale wanaopenda gari za gia (manual), toleo jipya lililo anza kutoka, ni gari za kuweka gia ila hazina clutch. Yaani dereva anahamisha gia anayotaka kwa kuachia tu mafuta (semi automatic) na hapo ulimwengu unaelekea kuzifuta kabisa sokoni gari za full manual
Hiyo ya manual kuwa na 4 speed, au 5 au 7 hadi 12speed ilikuwepo tangia mwanzoni (sio mabadiliko)
Sure zitapungua.. Ila sio technology ya zamani.. Technology ya mwanzo.. Automatic cars zipo tangu miaka ya 1940.. Kabla hata ya vita kuu za Dunia ii.. Hiyo ni karibu..!!?

Aisee manual gears zamani hazikuwepo mpaka 5 speed.. Kampuni nyingi za magari zimeanza 5 speed miaka ya 80..!
7 speed imeanza kutumika magari ya 2012..!
Kwahiyo ni technology inayoboreshwa..!
Haipo stagnant.. Ukiendesha Fiat lorry la miaka hiyo ni tofauti na lorry la leo..!
 
Mtu anayehangaika kuendesha gari manual hasa private car miaka hii ni wale watu wanaoishi nyuma ya muda.......kwa sasa watu wapo kwenye teknolojia ya gari ambazo zinajiendesha zenyewe bila hata dereva kugusa sterling, leo hii mtu anajisifia kuendesha gari manual?

Siku hizi hata ndege unaweka kwenye autopilot na rubani anaweza kupiga usingizi kama abiria wengine......na inakoelekea ndege zitakuwa zinaendeshwa kutokea ardhini kwenye control room.
Watu tunaoendesha na kununua land cruisers only za kwenda porini nk.. TUNAFAHAMU FAIDA YA MANUAL TRANSMISSION. LC yako kama ni automatic.. Una hasara kubwa sana kwa kazi zetu. Mimi hizo gari nyingine kama Rav4 siwezi comment sababu hizo ni gari za mjini tu..
 
Wametoka huko wapi? Serikali na Mashirika mpaka sasa wanaagiza hizo gari za Manual hata hilo V8 analotembelea Samia Saluhu ni Manual hiyo Technology ya Manual haiwezi kuisha karibuni kama unavyofikiria.
Lc300 manual hamna wakinunua hizo zitabaki prado j150 hizo na yale ma Hilux ma manual
 
Sure zitapungua.. Ila sio technology ya zamani.. Technology ya mwanzo.. Automatic cars zipo tangu miaka ya 1940.. Kabla hata ya vita kuu za Dunia ii.. Hiyo ni karibu..!!?

Aisee manual gears zamani hazikuwepo mpaka 5 speed.. Kampuni nyingi za magari zimeanza 5 speed miaka ya 80..!
7 speed imeanza kutumika magari ya 2012..!
Kwahiyo ni technology inayoboreshwa..!
Haipo stagnant.. Ukiendesha Fiat lorry la miaka hiyo ni tofauti na lorry la leo..!
Nowdays unaendesha manual simple balaa...niliwah shika gari moja mwenye nayo by 2012 lilikuwa linafikisha miaka 20 mikononi mwake asee ni ligumu kwanzia magia yake ila sa hivi unashika ka Hilux cha miaka ya karibuni au isuzu dmax ka gia kadogo simple sana kuendesha
 
Hahaha sure aisee.. Manual unafanya majaribio kirahisi.. Ni fun kupiga gia aisee..!
Tofauti na Auto.. Life span yote ya gari unaweza kuishia kutumia P R na D tuu..!
Yeah kuna watu pale kwenye L au 2 hawajawah weka
 
Nlikua mitaa ya watu wa hali za kawaida na kishua a town closer to london (45 minutes from London, kote napajua) na gari walizokua wanatumia wengine za kawaida and Yes they were manual na wengi hupendelea manual sijasema mahala popote automatic hazikuwepo zipo nyingi ila i was suprised baadhi ya watu still kupenda kutumia manual kwa nchi iliyo endelea kama ile.

Nimekaa miaka 4 kule nikipiga kitabu less than 8 years ago.
Voice of a man from London GB.
 
Aisee waswahili sisi tuna nogwa mtu hana safari ya maana kwa kuwa fulani ana kamkweche basi ni mwendo wa kuazimana, kuna zile safari kuazima chombo(usafiri) hakuna namna, mnamuwahisha hospital mgonjwa, mnaenda kumchukua mgonjwa n.k lakini sio hizi nyingine, niazime niende beach.

Af akibamiza sijui inakuaje?
 
Jombaa kuna aina ya magari manual ndio yananunulika zaidi hata kampuni huwa zinaweka uwiano sawa wa uzalishaji wake. Mf. mzuri ni Suzuki Jimny (2018 ~ up to now).

Mimi nimenunua kamoja muda sio mrefu hutu tugari manual vinaisha haraka sana tena hapa hapa bongo tu. Uzuri wa Jimny manual yake ni cheap zaidi kwa tofauti ya milioni 7 na auto yake.
Hivi hizo jimny mpya zimekaa kama box sh ngap
 
Umeongea point mkuu,, sikuhizi hata semi trailer Ni auto unakuta kamtu Kisa Ana cruiser ya 1990 anajisifia kuendesha manual

Scania zinakuja na Opticruise af na Cruise control juu.

Yaani zile pedal mbili za chini unatumia tu breki peke yake.

Hizo gari siyo kama ndio zipo Ulaya, zipo humu mjini watu wanaendesha kila siku.
 
Mkuu unajisifia umasikini?? Watu wametoka huko miaka mingi. Hakuna gari imetoka miaka ya karibuni wakaweka MANUAL.
Land Cruiser 70 series aka mkonga mpaka kesho wanaweka Manual.

Walitry kuweka auto miaka ya 90 lakini wakaacha wakarudi kwenye manual.

so usiseme hazipo.
 
Wametoka huko wapi? Serikali na Mashirika mpaka sasa wanaagiza hizo gari za Manual hata hilo V8 analotembelea Samia Saluhu ni Manual hiyo Technology ya Manual haiwezi kuisha karibuni kama unavyofikiria.

Hizi V8 unaziona Road hasa kuanzia 200 series manual ni chache sana. Nyingi unaziona ni road ni Auto.

300 series ndio wamefuta kabisa manual.
 
Back
Top Bottom