Naomba kujua zaidi kuhusu Toyota Crown Majesta

Naomba kujua zaidi kuhusu Toyota Crown Majesta

LJ BLOG,
Kama hili dude linaenda kilometa 19 kwa lita moja bas ist itaenda kilometa 40 kwa lita moja

The aggregate total capacity of 343 hp the hybrid powertrain provides excellent fuel economy - mileage to 18.2 km / l, for a car of this class level. It is worth recalling that the former Majesta sedan on 1 liter of gasoline could drive 8.6-9.4 km.
 
LJ BLOG,
😁😁 Ati lita moja inaenda kilometa 18 hata IST sio hivo mkuu...hiyo consumption nan kakwambia?
 
LJ BLOG,
Nan kawaambia v8 linakimbia hilo la toyota? Suv la ukubwa ule kuwa na 265hp ni ndogo sana ....fanya hesabu ya power to weight ratio unagundua v8 inasumbuliwa na sedan nyingi sana hata ukiwa na gari ina engine ya 1G FE kina 1Jz zilizoko kwa brevis na gari kadhaa marx za kawaida kabisa ...namaanisha gari za thaman zisizozid hata milion 16....

lile ni zito tu linatulia barabaran yan hata ukiwa 130 plus haliruki ruki kama gari dogo ila mkiekewa runway ya kilometa hata tatu imenyooka muanze mwaga moto ukiwa hata na brevis utakaa mbele ya v8 la diesel la toyota lolote lile ... sembuse we una crown lenye 339 hp si ndo hatokuona ...fanyen majaribio achen ogopa lile gari
 
LJ BLOG,
Kama kukariri unashindwa andika kwanini usikubali ni typing error hizo 19km kwa lita??🤔🤔

Unaeza nambia hili swal nishauliza sijaona majibu sahihi ..kuwa gari za 2005 kupanda juu zinatumiaje umeme mwngi kuliko mafuta 😁😁 ili hali gari hadi litembee lazima lichome mafuta sasa huo umeme unatumika wap ilihali gari si hybrid
 
Baada ya Kuendelea kuitafiti Toyota Crown Majesta hususani Uzao wa Nne toleo la Mwaka 2004 ambayo ina engine code 3UZS-FE V8 kiukweli nimetokea kuikubali kutokana na vitu vingi baada ya kuona ni gari yenye Airbags 9 nadhani inaweza kuwa moja kati ya gari chache za TOYOTA kuwa na AIRBAGS nyingi maana nyingi zina airbags mbili.

Lakini Seat zake nimezipenda kutokana na kuwa za umeme lakini pia na heater kupelekea Dereva na abiria kuwa more comfortable pale wanapohitaji heater kwenye seat zao. Lakini pia Kuwa na Air Purify nayo imekuwa kigezo kizuri sana kwenye gari hii, Lakini pia Kuwa na DUAL A/C dereva au abiria akitaka kipupwe kikali anajichagulia huku dereva akichagua kiwango chake cha kipupwe bila kuathiriana na abiria.

Lakini mfumo wa sunspension zake nimeupenda pia kutokana na Kuwa na Option za High, Height na Normal lakini pia sunspension zake ni za umeme ambapo zina option mbili za SPORT na Normal lakini Pia taa zake za mbele ni Directional ambapo zinamulika pale ambapo unaelekea pindi ukikata kona zinamulika upande unaokata kona. Pia ni Gari yenye Cooler Box kwenye Seat za nyuma za abiria

Kutokana na Kuwa na Nguvu, Speed na Comfortability Hii gari inazalisha nguvu ya 253 kW (339 hp; 344 PS). Hapa sasa nadhani Wale wapenda mbio, Basi hili linawafaa kwasababu hata ground clearance yake ni nzuri pia. Kibongo Bongo ukiamua kuiagiza inaweza kukugharimu kiasi cha Shilingi za Kitanzania Mil 16

Kuhusu Mafuta sidhani kama inaweza kuwa tishio kihivyo kwasababu kwa mujibu wa taarifa zao wanasema kuwa Lita Moja inaenda mpaka KM 18 - 19 . Tukiogopa sana Mafuta Tutashindwa kumiliki Magari mazuri aisee

Kwenye mbio nadhani mnyama huyu anaweza kuchuana na Land Cruiser V8 na aina nyingine za SUV lakini hizi sedan nyingi tu zitakuwa zinasoma namba kwa huyu Mnyama AiseeView attachment 861020
View attachment 861021
View attachment 861022
View attachment 861023

Kodi yake ikoje


Sent using Jamii Forums mobile app
 
subaru forester e- boxer. yani kuna gari zingine ukiashuka maeneo wake za watu wanajuta koulewa na wanaume zao masikinii 😅😅😅😅
 
subaru forester e- boxer. yani kuna gari zingine ukiashuka maeneo wake za watu wanajuta koulewa na wanaume zao masikinii [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sasa hii ina utajiri gani mkuu?

Hybrid Suv ya kwanza kutengenezwa na Co. Ya Subaru,Co’s nyingine za Kijapan zina hybrid SUV’s kitambooooooo.
 
Sasa hii ina utajiri gani mkuu?

Hybrid Suv ya kwanza kutengenezwa na Co. Ya Subaru,Co’s nyingine za Kijapan zina hybrid SUV’s kitambooooooo.
unajua forester gan nayo ongelea apo alafu kuwa na gari ya kitajiri kumuonekama zingine zina felii mkubwaa
 
unajua forester gan nayo ongelea apo alafu kuwa na gari ya kitajiri kumuonekama zingine zina felii mkubwaa

Hio ni gari ya kawaida kabisa sio kusema labda ni exotic car,angalia hata washindani wa category yake ni Toyota RAV4, Mazda CX-5,Volkswagen Tiguan etc so mpk hapo jua ni gari tu kama nyingine.

Au kilichokuchanganya hasa ni nini mkuu?Yenyewe kua hybrid,CVT,HP zake,au ni kitu gani hasa?Au yenyewe kuitwa Forester e-boxer?
 
Hio ni gari ya kawaida kabisa sio kusema labda ni exotic car,angalia hata washindani wa category yake ni Toyota RAV4, Mazda CX-5,Volkswagen Tiguan etc so mpk hapo jua ni gari tu kama nyingine.

Au kilichokuchanganya hasa ni nini mkuu?Yenyewe kua hybrid,CVT,HP zake,au ni kitu gani hasa?Au yenyewe kuitwa Forester e-boxer?
inamuonekama wakibabe flai.
we utachagua ipi kata ya harrier hybrid na subaru forester hybrid.achana na rav 4 ni takataka
 
Baada ya Kuendelea kuitafiti Toyota Crown Majesta hususani Uzao wa Nne toleo la Mwaka 2004 ambayo ina engine code 3UZS-FE V8 kiukweli nimetokea kuikubali kutokana na vitu vingi baada ya kuona ni gari yenye Airbags 9 nadhani inaweza kuwa moja kati ya gari chache za TOYOTA kuwa na AIRBAGS nyingi maana nyingi zina airbags mbili.

Lakini Seat zake nimezipenda kutokana na kuwa za umeme lakini pia na heater kupelekea Dereva na abiria kuwa more comfortable pale wanapohitaji heater kwenye seat zao. Lakini pia Kuwa na Air Purify nayo imekuwa kigezo kizuri sana kwenye gari hii, Lakini pia Kuwa na DUAL A/C dereva au abiria akitaka kipupwe kikali anajichagulia huku dereva akichagua kiwango chake cha kipupwe bila kuathiriana na abiria.

Lakini mfumo wa sunspension zake nimeupenda pia kutokana na Kuwa na Option za High, Height na Normal lakini pia sunspension zake ni za umeme ambapo zina option mbili za SPORT na Normal lakini Pia taa zake za mbele ni Directional ambapo zinamulika pale ambapo unaelekea pindi ukikata kona zinamulika upande unaokata kona. Pia ni Gari yenye Cooler Box kwenye Seat za nyuma za abiria

Kutokana na Kuwa na Nguvu, Speed na Comfortability Hii gari inazalisha nguvu ya 253 kW (339 hp; 344 PS). Hapa sasa nadhani Wale wapenda mbio, Basi hili linawafaa kwasababu hata ground clearance yake ni nzuri pia. Kibongo Bongo ukiamua kuiagiza inaweza kukugharimu kiasi cha Shilingi za Kitanzania Mil 16

Kuhusu Mafuta sidhani kama inaweza kuwa tishio kihivyo kwasababu kwa mujibu wa taarifa zao wanasema kuwa Lita Moja inaenda mpaka KM 18 - 19 . Tukiogopa sana Mafuta Tutashindwa kumiliki Magari mazuri aisee

Kwenye mbio nadhani mnyama huyu anaweza kuchuana na Land Cruiser V8 na aina nyingine za SUV lakini hizi sedan nyingi tu zitakuwa zinasoma namba kwa huyu Mnyama AiseeView attachment 861020
View attachment 861021
View attachment 861022
View attachment 861023
Kama unapenda huo mnyama, basi chungulia na Lexus LS460. Karibu vitu vyote ulivyovitaja hapo kwenye Majesta kule kwenye LS460 vinakuwa standard.

Ila kwenye ulaji wa mafuta hapo kasome vizuri. Itakuwa umesoma MPG. Kawaida lita moja huwezi zidi km 8 kwenye 3UZ. Labda sijui uendesheje aise.

LC V8 mbona tunamsumbua vizuri tu hata na visaluni vyetu vya kawaida mkuu. Shida kwenye bumps tu ndio tunatia heshima.
 
Chakushangaza unasema nimekudanganya wakati wewe unayejua inaenda l/km ngapi husemi halafu hizo km sijatoa kichwani mwangu mimi bali nimesoma kwa waliofanya review ya hio gari lakini Tatu Lita 1 inaweza kutembea Km 19 Kama unasafiri Kwenda umbali mrefu kama Mkoa hakuna kinachoshindikana.

Nne mmekalili kuwa Gari yenye cc kubwa inakula sana mafuta wakati sio hivyo Magari ya kuanzia mwaka 2005 kuendelea mfumo wake mwingi ni wa umeme kuliko mafuta kwasababu mafuta yanapounguzwa hutoa carbon emission ndio maana watengenezaji wa magari wanajitahidi sana kuendana na kasi ya teknolojia katika matumizi ya mafuta ili kupunguza hizo carbon emmission

na ndio maana magari mengi ya kisasa ulaji wake wa mafuta ni mdogo ukilinganisha na ya zamani kwasababu Hizo kwahio usikalili eti cc kubwa ndio ulaji mkubwa wa Mafuta Penda Kujifunza na unapopinga Pinga kwa data

@ Mavado Nenda google ukaisome hio gari vizuri ndio urudi kupinga na kusema nimekudanganya
Kweli mkuu siku hizi mpaka kuna gari zipo zinajikadiria zenyewe kiasi cha nguvu tokana na uhitaji.
Kama kuna GMC moja inaweza tumia piston 4 tu kati ya 8 kama hazina uhitaji automatically hapo kama ni hybrid utaenda 50km na cc 4500.
 
Dude linaitwa majesta huko sijui jini gani cc zaidi ya 4000 halafu eti km19 kwa litre moja ya petroli
Technology ndugu gari nyingi zenye engine kubwa zinatumia zaidi umeme,, mafuta yanatumiza zaidi wakati wa kuwasha. Nakubaliana kabisa na mtoa hoja hapo juu
 
Kweli mkuu siku hizi mpaka kuna gari zipo zinajikadiria zenyewe kiasi cha nguvu tokana na uhitaji.
Kama kuna GMC moja inaweza tumia piston 4 tu kati ya 8 kama hazina uhitaji automatically hapo kama ni hybrid utaenda 50km na cc 4500.
Cylinder deactivation ipo Audi na Porsche.

Gari kama ni V8, kuna wakati kuna cylinders zinasimama zenyewe kufanya kazi zinabaki chache zinazopiga mzigo.
 
LJ BLOG,
Nan kawaambia v8 linakimbia hilo la toyota? Suv la ukubwa ule kuwa na 265hp ni ndogo sana ....fanya hesabu ya power to weight ratio unagundua v8 inasumbuliwa na sedan nyingi sana hata ukiwa na gari ina engine ya 1G FE kina 1Jz zilizoko kwa brevis na gari kadhaa marx za kawaida kabisa ...namaanisha gari za thaman zisizozid hata milion 16....

lile ni zito tu linatulia barabaran yan hata ukiwa 130 plus haliruki ruki kama gari dogo ila mkiekewa runway ya kilometa hata tatu imenyooka muanze mwaga moto ukiwa hata na brevis utakaa mbele ya v8 la diesel la toyota lolote lile ... sembuse we una crown lenye 339 hp si ndo hatokuona ...fanyen majaribio achen ogopa lile gari
Ni sawa mkuu ukiongezea SUV umbo lake linakinzana sana na upepo kuliko hio sedan ambayo ipo chini chini na inakata upepo vizuri.
 
Back
Top Bottom