Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu,nimeomba kujua zinakopatikana hapa nchini kwetu.Si mombasa
Mnazi mmoja sehemu gani bro?Mnazi mmoja zipo
Asante mkuu,huyu alishapigwa ban ana muda hayupo JF lakini pia anauza kwa reja reja.
Hawauzi bei ya jumla pale hawezi pata faida moja 10000 ni bora aagize mombasaMnazi mmoja zipo
nenda kitumbini mnazimmoja ukichukua kwa bando watakuuzia bei nzuri elf 8Hawauzi bei ya jumla pale hawezi pata faida moja 10000 ni bora aagize mombasa
Mie nipo mkoani mkuu,kwa sasa nipo Mara. Nitashukuru kama naweza kupata mawasiliano au ukurasa wa Instagram wa muuuzaji.nenda kitumbini mnazimmoja ukichukua kwa bando watakuuzia bei nzuri elf 8
+255 782 143 143 CHAVDA VITENGE wasiliana nao hao wahindi wanamaduka Mnazi mmoja na mikoani wanakutumiaMie nipo mkoani mkuu,kwa sasa nipo Mara. Nitashukuru kama naweza kupata mawasiliano au ukurasa wa Instagram wa muuuzaji.
Nipe aina na ua unalopendelea kwenye hzo kanga pia unahitaji kiasi gani sijawahi fanya hii Biashara Ila ninasafari ya Mombasa na maduka ya wasomali nayafahamu, karibu tuyajengeMie nipo mkoani mkuu,kwa sasa nipo Mara. Nitashukuru kama naweza kupata mawasiliano au ukurasa wa Instagram wa muuuzaji.
Asante mkuu,umekuwa wa msaada sana.+255 782 143 143 CHAVDA VITENGE wasiliana nao hao wahindi wanamaduka Mnazi mmoja na mikoani wanakutumia
Asante sana mkuu,nilikuwa nahitaji kuchukua hapa hapa bongo sababu niko nakimbizana na muda.Nipe aina na ua unalopendelea kwenye hzo kanga pia unahitaji kiasi gani sijawahi fanya hii Biashara Ila ninasafari ya Mombasa na maduka ya wasomali nayafahamu, karibu tuyajenge
Kama bado hujapata na huna dalili za kupata siku mbili tatu hz katokea anakwambia anaweza pata source ya hyo kitu hapo unakuwa umesaidika au bado?Asante sana mkuu,nilikuwa nahitaji kuchukua hapa hapa bongo sababu niko nakimbizana na muda.
Si mombasa
Aisee me naomba unisaidie kwa mombasa hizi khanga ni bei ganiNipe aina na ua unalopendelea kwenye hzo kanga pia unahitaji kiasi gani sijawahi fanya hii Biashara Ila ninasafari ya Mombasa na maduka ya wasomali nayafahamu, karibu tuyajenge
Sijaenda muda aisee pia Sasa shilingi yao imepanda lakin nitatembelea huko mwez April katikatiAisee me naomba unisaidie kwa mombasa hizi khanga ni bei gani