Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,377
Naomba anayekumbuka/anayefahamu anijulishe.
Baada ya serikali kupiga marufuku mikutano ya siasa ya vyama, Chadema ilienda mahakamani kipinga narufuku hiyo.Sasa sikumbuki vizuri mahakama iliamua nini kuhusu shauri hilo maana ni kweli katiba na sheria ya vyama vya siasa inaruhusu vyama kuendesha mikutano ya siasa.
Jamani, mahakama iliamuaje?
Baada ya serikali kupiga marufuku mikutano ya siasa ya vyama, Chadema ilienda mahakamani kipinga narufuku hiyo.Sasa sikumbuki vizuri mahakama iliamua nini kuhusu shauri hilo maana ni kweli katiba na sheria ya vyama vya siasa inaruhusu vyama kuendesha mikutano ya siasa.
Jamani, mahakama iliamuaje?