You can't be serious... Barbershop ni biashara za kutafutia hela ya kula tu mkuu....katika maisha unahitaji kufikiri biashara ambazo ni game changer...ukitaka kufanikiwa katika maisha lazma ufikiri kama akina MO au Bakheresa. They think big..sio ishu za vibabashop hivyo wanawaachia akina Nyandu tozi wanyoane viduku.
Think big, start small.