Hili suala nimeanza kulitafakari kuanzia first wave.Naomba kufahamishwa mchezaji wa mpira ambaye yupo active, wa timu yoyote duniani aliyefariki kwa ugonjwa wa korona.
HakunaNaomba kufahamishwa mchezaji wa mpira ambaye yupo active, wa timu yoyote duniani aliyefariki kwa ugonjwa wa korona.
Hili nalo neno,binafsi sijasikia
Korona na mazoezi havikai pamoja
Hata washirikina hakuna hata mmojaHakuna
Mazoezi muhimu
Same question nimekuwa nikijiuliza sana, hakuna mchezaji aliyekufa hata mmoja.Naomba kufahamishwa mchezaji wa mpira ambaye yupo active, wa timu yoyote duniani aliyefariki kwa ugonjwa wa korona.
Hata washirikina hakuna hata mmoja
Babu wa loliondoKwani kuna mganga yeyote wa jadi duniani ameshakufa kwa Koronations?
Cc brazajNaomba kufahamishwa mchezaji wa mpira ambaye yupo active, wa timu yoyote duniani aliyefariki kwa ugonjwa wa korona.