Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Habari wadau,
Naomba mnijuze kuhusu mfumo wa hedhi kwa mwanamke ulivyo, tarehe ngapi mara nyingi inaanza kwa hao wanawake?
Je, kwenye tarehe kama 19 inaweza kuanza? Pia je inakuwaje mpaka inatokea mimba baada ya maingiliano.
Ahsanteni.
Naomba mnijuze kuhusu mfumo wa hedhi kwa mwanamke ulivyo, tarehe ngapi mara nyingi inaanza kwa hao wanawake?
Je, kwenye tarehe kama 19 inaweza kuanza? Pia je inakuwaje mpaka inatokea mimba baada ya maingiliano.
Ahsanteni.