Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
- Thread starter
- #21
mi nachanikiwa sana hv ni baada ya kubleed au kabla ya kuubleed ndo ukiingia unapata mtoto??maana navojua mm yai likiharibika ndo linakua linatoka nje kama uchaf ambapo tunasema bleeding au inakuwaje??