Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
KUSOMA BIOLOGY SI COMPULSORY SECONDARY?20 mi dume
Nenda kwenye jukwaa maalum huku hautapata majibu sahihi halafu weka uzi wako vizuri ueleweke kirahisi.. ngoja wajehabari wadau naomba munijuze kuhusu mfumo wa hedhi kwa mwanamke ulivyo tarehengap mara nyingi inaanza kwa hao wananwake??je kwenye tarehe kama 19 inaweza kuanza??pia je inakuwaje mpaka inatokea mimba baada ya maingiliano..ahsanteni
Ameishia la sabaKUSOMA BIOLOGY SI COMPULSORY SECONDARY?
guh jamani ngoja nikuambie juu juuHicho kitu kilishindikana kunasa kichwani mwangu
ipo hivi kwanza wewe ni mwanamke au mwanaume?Hicho kitu kilishindikana kunasa kichwani mwangu
Yani hata ikitokea nimeumwa nikaenda hospital na dr akitokea kuniuliza Mara ya mwisho kupata periods ni lini tehe tehe tehe ntatoa macho Ka fundi saaguh jamani ngoja nikuambie juu juu
Jmn wengine hatujui hio lughaKUSOMA BIOLOGY SI COMPULSORY SECONDARY?
Mwanamke tehe tehe teheipo hivi kwanza wewe ni mwanamke au mwanaume?