Naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri?

Naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri?

Lakikunene

Member
Joined
Jul 18, 2017
Posts
98
Reaction score
92
Habari zenu wanajukwaa..,Mimi naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri yaani ki (Gentleman) ya Bei Rahisi kwanzia Buku5-10...??

NOTE:HALI YANGU YAKIPATO NI NDOGO NDIO MAANA NIKAULIZIA SPRAY NA SIO PERFUME..Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwann mtu kauliza swali tena kwa ustaarabu kabisa halafu baadhi ya watu mnajibu vibaya jamani au kwa sababu kasema kipato chake kidogo?,kama unaona huwezi kumsaidia au kujibu soma tu na upite kimya kimya...yupo jukwaa husika kabisa..acheni hizo ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom