Naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri?

Naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri?

Hivi kwann mtu kauliza swali tena kwa ustaarabu kabisa halafu baadhi ya watu mnajibu vibaya jamani au kwa sababu kasema kipato chake kidogo?,kama unaona huwezi kumsaidia au kujibu soma tu na upite kimya kimya...yupo jukwaa husika kabisa..acheni hizo ndugu zangu.
Hapana majibu ni sahihi tu.. maana hata ukimwambia hii au ile.. akifika dukani atainusa tu.... Aende madukani akanuse nuSe Kama beberu atafutaye Mbuzi jike.... kwa ushauri akanunue basi ile ya kupulizia wapendwa wetu waliotutoka... Atanukia vyema tu.
 
Hapana majibu ni sahihi tu.. maana hata ukimwambia hii au ile.. akifika dukani atainusa tu.... Aende madukani akanuse nuSe Kama beberu atafutaye Mbuzi jike.... kwa ushauri akanunue basi ile ya kupulizia wapendwa wetu waliotutoka... Atanukia vyema tu.
Hapana.. mwingine anataka ajue ambayo au ambazo zina pendwa na wengi ili asipate tabu akifika dukani anakua na shortlist then anachagua kutoka kwenye hiyo list.
 
Hivi kwann mtu kauliza swali tena kwa ustaarabu kabisa halafu baadhi ya watu mnajibu vibaya jamani au kwa sababu kasema kipato chake kidogo?,kama unaona huwezi kumsaidia au kujibu soma tu na upite kimya kimya...yupo jukwaa husika kabisa..acheni hizo ndugu zangu.
Wambie wanajifanya wanazo kumbe choka mbaya
 
Hapana majibu ni sahihi tu.. maana hata ukimwambia hii au ile.. akifika dukani atainusa tu.... Aende madukani akanuse nuSe Kama beberu atafutaye Mbuzi jike.... kwa ushauri akanunue basi ile ya kupulizia wapendwa wetu waliotutoka... Atanukia vyema tu.
Duuu [emoji2] [emoji2]
 
Habari zenu wanajukwaa..,Mimi naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri yaani ki (Gentleman) ya Bei Rahisi kwanzia Buku5-10...??

NOTE:HALI YANGU YAKIPATO NI NDOGO NDIO MAANA NIKAULIZIA SPRAY NA SIO PERFUME..Ahsanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua air fresh ya vanilla.....[emoji30][emoji30][emoji30]
 
Hivi kwann mtu kauliza swali tena kwa ustaarabu kabisa halafu baadhi ya watu mnajibu vibaya jamani au kwa sababu kasema kipato chake kidogo?,kama unaona huwezi kumsaidia au kujibu soma tu na upite kimya kimya...yupo jukwaa husika kabisa..acheni hizo ndugu zangu.
[emoji106]
 
Back
Top Bottom