Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah yaani Kila mtu na interest yake,mie hayo Makaraoke huwa naona kama kelele fulani tu,Sina interest hata kidogo.Ila nikisikia sehemu Kuna hizi live band akina Nyooshi El Sadat,Mara Twanga pepeta au akina Patcho,akina Bella hapo unakuwa umeniroga kabisamfano mtu unawekewa biti la wimbo wa beyonce wewe unaimba live ndo karaoke mkuu.
Mimi kaka nikiona totoz zinapitapita na mikia yao imebinuka kama sungura hata ukinipigia simu. Nakuahidi sitasikia.Dah yaani Kila mtu na interest yake,mie hayo Makaraoke huwa naona kama kelele fulani tu,Sina interest hata kidogo.Ila nikisikia sehemu Kuna hizi live band akina Nyooshi El Sadat,Mara Twanga pepeta au akina Patcho,akina Bella hapo unakuwa umeniroga kabisa
Daaa safi nsha toka chaka.mfano mtu unawekewa biti la wimbo wa beyonce wewe unaimba live ndo karaoke mkuu.
Hilo la mikia mkuu ni Karibu la kila mtu,ndio maana bar ambazo mikia huwa haikauki zinajaza kweli sio mchezo.Mikia ikikauka tu na wateja wengine wanapunguaMimi kaka nikiona totoz zinapitapita na mikia yao imebinuka kama sungura hata ukinipigia simu. Nakuahidi sitasikia.
Mkuu huu ujumbe ni wangu? if yes how are you sure kama mimi mlemavu au siyo mlemavu? ...kwa mujibu wa tafsiri yako ya ulemavuKutokua na Permanent Partner ni ULEMAVU!!
Aisee kumbe tuko wengi. Mimi nikifika bar natafuta mmoja mwenye kijungu kilicho tulia na mwambia na yeye apate kinywaji. Nikiagiza supu na mwambia nayeye aagize supu anayoitaka na beer ikianza kupanda nikitaka kuituliza na mshkaki na yeye pia huku nakagua shanga. AluuhHilo la mikia mkuu ni Karibu la kila mtu,ndio maana bar ambazo mikia huwa haikauki zinajaza kweli sio mchezo.Mikia ikikauka tu na wateja wengine wanapungua
Sent using Jamii Forums mobile app
Njano mpauko.
Unaongelea hii hii dar inayoitwa na BBC ni KIJIJI KIKUBWA CHA WAVUVI.Huko sweken kijenge sipafahamu ndio napasikia leo.. Karibu downtown dsm toka swekeni huko
Kweli aisee,mi mwenyewe kwenda kula vyombo bar afu watu waanze kuimba ujinga ujinga wao sio hobby yangu hioDah yaani Kila mtu na interest yake,mie hayo Makaraoke huwa naona kama kelele fulani tu,Sina interest hata kidogo.Ila nikisikia sehemu Kuna hizi live band akina Nyooshi El Sadat,Mara Twanga pepeta au akina Patcho,akina Bella hapo unakuwa umeniroga kabisa
Sinza maeneo gani Pm@pisi kali?Maeneo ya sinza kuna sehem nyingi sana
Mikocheni
Mbezi ya chini (mbezi ya kwa zena) karaoke sehem nyingi ni ijumaa/jmos it depends na ratiba ya hiyo sehem
princes ariana umetisha. Mtoto wa kike unajua ratiba za kumbi za starehe? Hawa ndio waif material wa Makonda. ? Huko tuendako watu wataenda kuchumbia 40/40 Tabatazote.
mliman city wamezindua wiki hii
Ratiba ziko Instagram kwa page yao ya Samaki samaki
Sent using Jamii Forums mobile app
na kipindi unaimba inakuwepo screen kubwa ambayo maneno ya ule wimbo yanakuwa yanapita. watu wanakusikiliza huku wanakula na kunywa. mara nyingi wimbo unakuwa maarufu au wa msanii maarufu.
Afu mambo hayo nmeanza mwaka huu. Nilikua sijuagi chochote.princes ariana umetisha. Mtoto wa kike unajua ratiba za kumbi za starehe? Hawa ndio waif material wa Makonda. ? Huko tuendako watu wataenda kuchumbia 40/40 Tabata