makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Nenda Ngamia Lounge kigamboni kila siku za jumatano totozi za kufa mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba uzee umenikamata ama! Kukaa kwangu kote kigamboni, ratiba hii sina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda Ngamia Lounge kigamboni kila siku za jumatano totozi za kufa mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu mambo hayo nmeanza mwaka huu. Nilikua sijuagi chochote.
ni vile mwaka huu nimeamua uwe wa bata tu maendeleo nme pause kwanza.
mkuu Nikifika popote bill nalipa mwenyewe kwanini nisiende hadi nakachereni kula bata.
uzuri mi sio komba nakunywa glass moja basi[emoji2].. anaenitaka atanikuta humo humo anioe mana nmejifungia miaka 24 na hakuna aliejitokeza... si bora niende havoc nikakeshe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kigamboni sehemu gani?Nenda Ngamia Lounge kigamboni kila siku za jumatano totozi za kufa mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
mfano mtu unawekewa biti la wimbo wa beyonce wewe unaimba live ndo karaoke mkuu.
wajuzi jibuni hili tafadhali
unaimba wimbo wa biti husika kama biti ni forever young ya jay z unaimba huo huo. kumbuka inakuwepo screen kubwa ambapo maneno ya huo wimbo yanapita unafanya kurudia tu. huku watu wanapata kinywaji na chakula.Khasante sana Mkuu kwa kunitoa tongotongo ila hiyo live unaomba wimbo wa huyo mwanadada au ata wa Christian Bella kutumia Biti la Beyonceeee??
safi, wametuelewesha kwa kweliMkuuu nimepata majibu mawili la.kwanza jamaa kaniuliza kama anaweza kubinuka sarakasi 9t club?,Mwingine kasema ni kutumia Biti ya msanii alafu ww ukawa unaimba live!!!!
Just Mualiko tuAfu mambo hayo nmeanza mwaka huu. Nilikua sijuagi chochote.
ni vile mwaka huu nimeamua uwe wa bata tu maendeleo nme pause kwanza.
mkuu Nikifika popote bill nalipa mwenyewe kwanini nisiende hadi nakachereni kula bata.
uzuri mi sio komba nakunywa glass moja basi[emoji2].. anaenitaka atanikuta humo humo anioe mana nmejifungia miaka 24 na hakuna aliejitokeza... si bora niende havoc nikakeshe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmefulia mno sijui ningeenda kwa mwamposa[emoji3]. Daah Mwanangu mgalilaya naona umeniamulia
Hahaha nimekufuata kila kona leo[emoji23][emoji23][emoji23]Nmefulia mno sijui ningeenda kwa mwamposa[emoji3]. Daah Mwanangu mgalilaya naona umeniamulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 24 bado kigori kabisa!! Kula maisha dadaAfu mambo hayo nmeanza mwaka huu. Nilikua sijuagi chochote.
ni vile mwaka huu nimeamua uwe wa bata tu maendeleo nme pause kwanza.
mkuu Nikifika popote bill nalipa mwenyewe kwanini nisiende hadi nakachereni kula bata.
uzuri mi sio komba nakunywa glass moja basi[emoji2].. anaenitaka atanikuta humo humo anioe mana nmejifungia miaka 24 na hakuna aliejitokeza... si bora niende havoc nikakeshe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 24 bado kigori kabisa!! Kula maisha dada
unatokea kijiji gani mkuu??Karaoke ni nn mkuuu?
Kwa Mwamposa au kwa Mwakasege?Nenda kanisani ibada ya masifu ya ijioni, huwa tunaimba sana mapambio ya kumtukuza Mungu.
Haha, hapana mkuu, mimi ni MKKKT. Mwakasege huwa nakwenda mara moja moja. akiwa na semina dar na akinikuta nikiwa dar.Kwa Mwamposa au kwa Mwakasege?
Imani yako itakuponyaHaha, hapana mkuu, mimi ni MKKKT. Mwakasege huwa nakwenda mara moja moja. akiwa na semina dar na akinikuta nikiwa dar.