Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo kureed ilishanyoosha mikono, haipo.Kureed Hunters au Happy Nation tofauti na hapo utafika siku 2
Tanzanite haipo siku nyingi mkuu...K
Hiyo kureed ilishanyoosha mikono, haipo.
Chuma Tanzanite weka mbali na watoto
Mwanza gari ni aliys star tu unafika mapema na gari zao ni nzuri.Ni msimu wa likizo, unaweza kutaja pia la mkoa mwingine
Ila kwa mimi naomba kujuzwa la Dar to Mwanza, liwe la luxury safi na la uhakika,
Dooh basi Kampuni nyingi zimejifia, route zangu mwisho ilikuwa March mwaka huu, hiyo Tanzanite ndio ilikuwa option namba moja chap saa tano kasoro umeingiaTanzanite haipo siku nyingi mkuu...
Kureed hunter ni gari sasa!!, angalau happy nation. jichanganye mkuu upande hilo hunter utajuta gari ni mwendo wa konokono unafka kesho yakeKureed Hunters au Happy Nation tofauti na hapo utafika siku 2
Ndo magari yenu ya huko lazima ufike next dayKureed hunter ni gari sasa!!, angalau happy nation. jichanganye mkuu upande hilo hunter utajuta gari ni mwendo wa konokono unafka kesho yake
Panda zuber wew utojutia
Hii ndio the best nakaziaPanda zuber wew utojutia
Kisesa hamna kitu mkuu, bi mkubwa nilimkatia hapo ila alifika kesho.. alifika manyoni saa moja jioni akanipigia umenikatia kwenye gari bovu.Chukua allys bei 65000, happy nation bei 65000. Ukikosa kote kajirushe na Zuberi na kisesa bei 55,000.
Ukikosa hapo panda luxury za dodoma lala dodoma then kesho yake unga tu mwanza
Hakuna Bus la kijinga kama hili ZUBERI
nakushauri usijaribu ndugu
Bora tafuta bus Jingine
Kuna mdogo wangu ameibiwa mzigo upo kwenye buti la Bus lao Jumapili Asubuhi
ajabu hakuna ushirikiano wowote waliompatia!
Hivi ni kweli hakuna chama cha kutetea abiria?
Kisesa hamna kitu mkuu, bi mkubwa nilimkatia hapo ila alifika kesho.. alifika manyoni saa moja jioni akanipigia umenikatia kwenye gari bovu.