nkanziga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 694
- 1,104
Hata hio Tanzanite haipo tenaTanzanite ndiyo mambo yote,unastrech kiti unakaa kama upo kwa Dream liner
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hio Tanzanite haipo tenaTanzanite ndiyo mambo yote,unastrech kiti unakaa kama upo kwa Dream liner
Gari ni travel partner or Ally'sMnazi kazini [emoji28]
Zuberi na Kisesa wote kampuni moja hao na basi zao ni nzuri sana.....Panda
Ally's Star Bus
Happy Nation
Zuberi Express
Kisesa Express
K
Hiyo kureed ilishanyoosha mikono, haipo.
Chuma Tanzanite weka mbali na watoto
354 MOO? Hio vipiZuberi na Kisesa wote kampuni moja hao na basi zao ni nzuri sana.....
Ila kama mtu wa kupenda mbio nenda na Ally's afu ukutane na DXS series..kuna hiyo DXS 360..Huo Moto unaomwagwa hapo ni balaaa.
Panda Happy Nation, ukiikosa Bora uahirishe tuu safariNi msimu wa likizo, unaweza kutaja pia la mkoa mwingine
Ila kwa mimi naomba kujuzwa la Dar to Mwanza, liwe la luxury safi na la uhakika,
[emoji38][emoji38] abood hajawahi kuwa na basi nzuri ktk ruti za masafa marefu,kuna mwaka dar kwenda mbeya nilifika saa tano usiku,wakati huo niliwahi fika mwanza kidogo kule nilikua naziona asubuhi ndio zinaingia,hapo ina maana zinalala shinyanga.Nilipanda abood mara ya mwisho natoka dsm kwenda mwanza nilifika mwanza saa 8 sitosahau hio safari
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana basi kwasasa amemuuzia libanike wa Dom to DarTanzanite ndiyo mambo yote,unastrech kiti unakaa kama upo kwa Dream liner
Yaani Mwanza bwana Kuna mabasi machache na ya kishamba,tatizo Ni Nini? Mbeya Kuna mabasi mengi na makali SanaHata hio Tanzanite haipo tena
Huku Kuna Airbus nyingi.... tofauti na mbeyaYaani Mwanza bwana Kuna mabasi machache na ya kishamba,tatizo Ni Nini? Mbeya Kuna mabasi mengi na makali Sana
Hivi kama mabus hayo ya Ally's Star yanadaiwa kukimbia sana lakini Mwanza uwa yanafika usiku kati ya saa 6:30 na 7:00 hayo mengine yasiyokimbia sana uwa yanafika saa ngapi?Zuberi na Kisesa wote kampuni moja hao na basi zao ni nzuri sana.....
Ila kama mtu wa kupenda mbio nenda na Ally's afu ukutane na DXS series..kuna hiyo DXS 360..Huo Moto unaomwagwa hapo ni balaaa.
Hakuna bus ambalo haliingii Magufuli terminal. Ni Lazima yaingie labda liwe limekodiwa ..Hivi kama mabus hayo ya Ally's Star yanadaiwa kukimbia sana lakini Mwanza uwa yanafika usiku kati ya saa 6:30 na 7:00 hayo mengine yasiyokimbia sana uwa yanafika saa ngapi?
Kingine mabus ya Ally's Star yanayotoka Dar kwenda Mwanza uwa hayaingii Magufuli Bus Terminal na badala yake uwa wanawataka abiria wapandie kituo cha Luguruni ambapo hakuna sehemu ya kujikinga kama pakitokea mvua au huduma za jamii kama sehemu ya haja ndogo n.k. Je, mamlaka husika wanaona jambo hilo ni sahihi?
Kuna Kidia one, travel partnerChukua allys bei 65000, happy nation bei 65000. Ukikosa kote kajirushe na Zuberi na kisesa bei 55,000.
Ukikosa hapo panda luxury za dodoma lala dodoma then kesho yake unga tu mwanza