New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
Mcoconut, noma sanaMnazi kazini [emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mcoconut, noma sanaMnazi kazini [emoji28]
Mcoconut, noma sanaMnazi kazini![]()
Kuna DRG, "la petrol"Zuberi na Kisesa wote kampuni moja hao na basi zao ni nzuri sana.....
Ila kama mtu wa kupenda mbio nenda na Ally's afu ukutane na DXS series..kuna hiyo DXS 360..Huo Moto unaomwagwa hapo ni balaaa.
Ondoka sasa kwenda mwanza au wiki ijayo utapanda fuso mpaka mwanza.Ni msimu wa likizo, unaweza kutaja pia la mkoa mwingine
Ila kwa mimi naomba kujuzwa la Dar to Mwanza, liwe la luxury safi na la uhakika,
Umejileta yaani mabasi ambayo huwa unatulingishia kumbe yalipiga route Moja wakakuta watu wanaingia na mbuzi,ndama,kuku,michembe na upuuzi Kama huo wakahama route 😜😜Huku Kuna Airbus nyingi.... tofauti na mbeya
Hakuna Abood ya Mwanza wewe pimbi,hata hizo za Bukoba Ni namba D ,namba E amepeleka Arusha na Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.Abood ana gari mpya tupu tangu wiki iliyopita ruti ya Bukoba, Mwanza na
Arusha. Super luxury na choo ndani . Wahi ofisi mpya Shekilango. Gari za ukweli saa nne mwanza.
Walau mabasi ya nafuu semi VIP njia hiyo NiKuna Kidia one, travel partner
We jamaa kweli hamnazo .....sihitaji kukuletea mapicha Mimi ..ila mwanza ni multi transport city.kuna zaidi ya bus 15 za mwanza to dar..unaposema tanzanite imekufa ,,, tanzanite,dar lux zimeacha ruti nchi nzima sio mwanza tu .Umejileta yaani mabasi ambayo huwa unatulingishia kumbe yalipiga route Moja wakakuta watu wanaingia na mbuzi,ndama,kuku,michembe na upuuzi Kama huo wakahama route [emoji12][emoji12]
Kured Hakuna
Tungis Hakuna
Phoenix Hakuna
Tanzanite Hakuna
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Maskini Yaani mumebakia na malipo yenu Yale chakavu ya Miaka yote akina Ally,zuberi,kusema na mavyuma mengine chakavu Kama hayo.
Kama Kuna Airbus mwambie mtoa mada apande Airbus [emoji125][emoji125]
Mbeya hawavumi Ila wamo
[emoji116]
We jamaa ni mshamba.abood ana magari zaidi ya matano ruti ya mwanzaHakuna Abood ya Mwanza wewe pimbi,hata hizo za Bukoba Ni namba D ,namba E amepeleka Arusha na Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
Yako wapi? Leta Moja tuu liloandikwa Dar-Mwanza maana mengine yote yanaandikwaWe jamaa ni mshamba.abood ana magari zaidi ya matano ruti ya mwanza
Naona Abood ya Dar-Moro hapo 😆😆😆.We jamaa kweli hamnazo .....sihitaji kukuletea mapicha Mimi ..ila mwanza ni multi transport city.kuna zaidi ya bus 15 za mwanza to dar..unaposema tanzanite imekufa ,,, tanzanite,dar lux zimeacha ruti nchi nzima sio mwanza tu .
Abood pekee ana magari zaidi ya matano ruti ya dar na morogoro,,,bado magari ya dodoma ni mengi,..mtu anakuwa na option apande Hadi Dom then apande lingine la dar ,au aende Hadi Moro ,au apande direct Hadi dar au apande ndege ..
View attachment 2436238View attachment 2436239View attachment 2436240View attachment 2436242View attachment 2436243
Ww jamaa mshamba sana alafu unajiona mjanja, hiyo njia ya darling to mwz ni ngumu wanaiweza wababe tu Kama ally's.. huyu tungi's hana gari ya maana zaid ya screpa tupu, sasa kwa akili yako unafikiri abiria ni wajinga wapande hayo magonga nyundo waache vitu vya happy nation,zuber au ally's?Naona Abood ya Dar-Moro hapo [emoji38][emoji38][emoji38].
Hizo Bus 15 ziko wapi? Mbona imeleta picha za kina Ally s wa siku zote naomba hizo zingine tuzione.
Mchagulie mtoa mada bus za kupanda sio kuleta mapovu ya kijinga..
Hao kina bright line Ni kundi moja na kured,tungis,tanzanite na wengine waliokimbia ushamba huko Mwanza.
Hahaha au twende nae Bulale akatafute mboga mboga....Anyways aache ubishoo atafute gari zuri la wastani aende otherwise achukue ndege tu.Acha umama wewe kijana. Panda gari lolote hata semi! Watu wa mwanza ni wavumilivu kwa hali yote.
Ukifika buhongwa shuka tunywe maliboto.
Yako wapi? Leta Moja tuu liloandikwa Dar-Mwanza maana mengine yote yanaandikwa
Sasa hilo li Marcopolo la usajili wa T..... AAG kweli, ndiyo unaweka picha yake hapa jukwaani!!
NdiyoSasa hilo li Marcopolo la usajili wa T..... AAG kweli, ndiyo unaweka picha yake hapa jukwaani!!
Vipi hapo dodoma mchana naweza kupata gari ya kwenda mwanza?Chukua allys bei 65000, happy nation bei 65000. Ukikosa kote kajirushe na Zuberi na kisesa bei 55,000.
Ukikosa hapo panda luxury za dodoma lala dodoma then kesho yake unga tu mwanza