Nipe brand name ya hizo shock up unazonunua, je huwa unakaa nazo muda gani?Mie mipira napointi kwa sasa mwanzo nilinunua piru ila nikaona najila sana. Maana sioni tofauti kabisa ya kiatu used na kipya.
Braza, gari yangu naipenda ila kimsingi siwezi nunua shockup 650k!!! Hizo mbanga zinawahusu wale wa Nissan brand. Sikutaka hizo tabu na ndio maana nilichagua gari economical kwangu.
Gas filled Durable shockup ni 85K kwa moja. Nikinunua pair nasahau!
Ata tairi haifai kuweka used! Napenda nikiweka tairi iwe mpya ya iliyotengenezwa mwaka huo au mwaka uliopita.'Ambacho naeza weka used kwenye gari yangu ni matairi tu'.
Hahah sasa hapo ndipo tunatofautiana mzee baba,tyre used siigusi hata kwa dawa niko so sensitive yaani hapo lazima nikamenye kitu kipyaa dukani.
Kwa hio mzee baba shock ups za gari yako(kama ni toyota) unaendaga kununua hizo za Tsh.650,000 per shock up sio?
Shock up za gari yangu hua naagiza za KYB brand ni za ukweli kinyamaaaa.
Hahah hamna noma mzee baba,OEM ni expensive so napendelea aftermarket ingawa sometimes inakua viceversa.Mie mipira napointi kwa sasa mwanzo nilinunua piru ila nikaona najila sana. Maana sioni tofauti kabisa ya kiatu used na kipya.
Braza, gari yangu naipenda ila kimsingi siwezi nunua shockup 650k!!! Hizo mbanga zinawahusu wale wa Nissan brand. Sikutaka hizo tabu na ndio maana nilichagua gari economical kwangu.
Gas filled Durable shockup ni 85K kwa moja. Nikinunua pair nasahau!
Mimi mwenyewe tyre used sina amani nayo mkuu,lazima nichukue mpya tuAta tairi haifai kuweka used! Napenda nikiweka tairi iwe mpya ya iliyotengenezwa mwaka huo au mwaka uliopita.
Sorry, hii brand ya KYB zinapatikana madukania au mpaka uagize..?'Ambacho naeza weka used kwenye gari yangu ni matairi tu'.
Hahah sasa hapo ndipo tunatofautiana mzee baba,tyre used siigusi hata kwa dawa niko so sensitive yaani hapo lazima nikamenye kitu kipyaa dukani.
Kwa hio mzee baba shock ups za gari yako(kama ni toyota) unaendaga kununua hizo za Tsh.650,000 per shock up sio?
Shock up za gari yangu hua naagiza za KYB brand ni za ukweli kinyamaaaa.
Mkuu ball joint za kirikuu Cabreta zinauzwaje?Kwenye shockup hapo hizo unazonunua sio genuine mkuu hizo ni from China genuine shockup kwa hizo 4 ulitakiwa kulipia kama milioni 3 kasoro
Nadhani ni KYB hizi!Nipe brand name ya hizo shock up unazonunua, je huwa unakaa nazo muda gani?
Inategemea ni ya gari gani..mm Nina Fuga Ila nimefunga injini 1G Bei @50,000Asante mkuu. Kuna mtu kaniambia elfu 40 nikashtuka sana
share with us, please.Inategemea ni ya gari gani..mm Nina Fuga Ila nimefunga injini 1G Bei @50,000
Inategemea ni ya gari gani..mm Nina Fuga Ila nimefunga injini 1G Bei @50,000
Gari gani kaka?Inategemea na aina ya gar...mi nanunua plug moja elfu 30 na zinakaa plug nne. Jumla ni Tsh 120,000/=
Dah kweli tunatofautiana, taili Used, mimi naona ndiyo risk bora Shokap na vitu vingine.Brake pad unawekaje used sasa?🤣🤣🤣 Itoshe kusema kuwa vitu used ni kipengele jamani. Ambacho naeza weka used kwenye gari yangu ni matairi tu ambayo still nayanunua nusu ya bei ya tairi mpya maana kwangu sioni tofauti kwa ubora wa tyre mpya na used as long as mpira ni mzima na kashata bado mbichi! Hela ya tairi moja mpya naweza pata used tyres mbili ambazo ziko Order sana sababu mkoa niliopo vipuri vya gari bei ni kichaa.
🤣 Kwa ruti za mjini haina ubayaDah kweli tunatofautiana, taili Used, mimi naona ndiyo risk bora Shokap na vitu vingine.