Naomba kujuzwa bei za viwanja Kinyerezi Mwisho

Naomba kujuzwa bei za viwanja Kinyerezi Mwisho

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
817
Reaction score
2,180
Guys, nina ndugu anatafuta kiwamja 25 X 30 (750m²). Alipendekeza kinyerezi kuwa patamfaa. Katika kumsaidia kutafuta nikapata agency flani wakaniambia 65,000 per m². Meaning 48,750,000 kwa size anayotaka.

Sasa kabla hatuja close deal nafanya due diligence nione kama hii bei ni thaman halisi ya viwanja maeneo hayo au ni kanjanja.

Eneo ni kinyerezi mwisho. Hiyo bei wamesema ni pamoja na hati sina uhakika kama hati inaweza fikia milioni 2 au zaidi.

Wajuzi na wazoefu mje tafadhali.
 
Kinyerezi Mwisho kuna viwanja pale bado vya kupima, isije kuwa ni kifuru huko mabonde na miinuko kama yote. Ila kwa Kinyerezi ninayo ijua mimi kwa sasa ukipata kiwanja bei yake ni mkasi!
 
Kinyerezi mwisho kuna viwanja pale bado vya kupima, isije kuwa ni kifuru huko mabonde na miinuko kama yote. Ila kwa Kinyerezi ninayo ijua mimi kwa sasa ukipata kiwanja bei yake ni mkasi!
Kwa maelezo yao walisema ni jirani na stand ya kinyerezi mwisho, tumepanga ku visit this friday tupaone.
 
Sawa usisahau kuleta mrejesho hapa, mimi mwenyeji sana nimekaa zaidi ya miaka 13...
Kwa maelezo yao walisema ni jirani na stand ya kinyerezi mwisho, tumepanga ku visit this friday tupaone.
 
kipo kimoja huko kitunda...ni 25 kwa 30 ila kina hitaji 23m kama itakupendeza nitafute tufanye biashara iko kiwanja akina udalali...
1f0e8f67b51b62134b1ed1f03349f8c4.jpg


na akitokuwa usumbufu wa kubadilisha umiliki. ukinunua moja kwa moja unajisajili kwa majina yako kama mmiliki wa Awali...!

67443bda09d717b59aafc02aeffa8c0b.jpg
 
Huko bei ni za moto mnoo, Ila kuwa makini sana kwa kuangalia eneo utakalo uziwa maeneo mengi kule hayako flat ,kwenye ujenzi nk changamoto sana kama.huna hela ,afu barabara za mitaai nazo ziko hovyo coz mwanzoni watu walikua wanajikatia viwanja kiholela
 
Mkuu kifuru nasikia ni masaki mpya?
Aah wapi kuna mchanganyiko mkubwa wa makazi bora na holela

Na changamoto kubwa ni barabara, aise kifuru ni kipengele kwa barabara chenga, yaani zipo zipo tu mara kona mara bonde ila ndio hivyo karibu na mji na bora mara 100 kuliko kwenda Chanika huko ama Bunju
 
Guys, nina ndugu anatafuta kiwamja 25 X 30 (750m²). Alipendekeza kinyerezi kuwa patamfaa. Katika kumsaidia kutafuta nikapata agency flani wakaniambia 65,000 per m². Meaning 48,750,000 kwa size anayotaka.

Sasa kabla hatuja close deal nafanya due diligence nione kama hii bei ni thaman halisi ya viwanja maeneo hayo au ni kanjanja.

Eneo ni kinyerezi mwisho. Hiyo bei wamesema ni pamoja na hati sina uhakika kama hati inaweza fikia milioni 2 au zaidi.

Wajuzi na wazoefu mje tafadhali.
nipe namba zako inbox nikuunganishe na dalali mzoefu wa kinyerezi huko.

udalali wangu ni wa mwanza sana sana ila dar pia nina connection kabambe sana
 
Back
Top Bottom