ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Vipi kuhusu mchele na maharagwe?Wakuu nataka niwe na chukua Mali aidha kariakoo au bara mzigo gani unatoka nao uhakika ukivuka maji na Meli au vi boat?taratibu zake na changamoto zake ni zip?
Lakini naona hapa wazenji wanakula walinila wanakula mchele unaoitwa mapembe, mchele wa ovyo sana, ila hiyo grade unaweza kuuza mahoteliniKama utaweza kufikisha mchele grade 1 utapiga hela sana maana wazenji wanakula sana wali
Huku maporini hua tunapambana na wapemba kukusanya mchele na wanamwaga noti vibaya mno.
Cha muhim uwe ule ulionyooka piru
.
Shida ni kibali mkuu,Kwa sasa deal ni kusambaza vileo a.k.a pombe kwenye mahoteli na migahawa umasikini unauaga mapema!.
Nimefika zenji mara kadhaa, nadhani biashara inayoweza faa ni zile za mboga nboga na matunda, nafaka etc...Wakuu nataka niwe na chukua Mali aidha kariakoo au bara mzigo gani unatoka nao uhakika ukivuka maji na Meli au vi boat?taratibu zake na changamoto zake ni zip?
Uza mwani utapata fedha nyingi sana
Mwani ndio nini?
Nimemjibu swali issue za kibali atajua yeye, coz hamna biashara kubwa utafanya bila kulipa kodi au leseni.Shida ni kibali mkuu,
Ingekua rahisi kila mtu angekuwa anauza pombe Zanzibar...
Wengi wamejaribu wameshindwa.