kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,094
- 3,108
- Thread starter
- #21
dah watu mnafukua makaburi aisee, mmenishambulia kwa matusi kule nimewakimbia nakuja hapa kuomba ushauri wa aina iyo ya gari ili mzee akinipa ela nikavute gari nilie bata mjini bado mnanifata na uku, watanzania wakiamua kukukalia kooni utatamani ukimbie nchiHongera kijana wa miaka 41.
Msaada: Baba yangu mzazi ameuza nyumba yake na hataki kunipatia pesa japo kidogo
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni...www.jamiiforums.com