Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda Manzese darajani, pembeni ya MKWERE BAR kuna duka kubwa mnoo wanauza dawa bei ya Jumla, bei rahisi hadi utashangaaHabarini members,
Nilikuwa naomba tupeane connection ya chimbo la kununua dawa( dawa za binadamu)kwa bei ya jumla kwa ajili ya pharmacy! Either kariakoo au popote pale!
Natanguliza shukurani
Mkuu kwasasa niko mbali na hapo, ninafanya utaratibu nitumiwe namba huenda ikawa baadae kidogo.Kama una mawasiliano yao naomba maana sipo dar
Nimeona, unaweza kunihesabu mkuuNakutext pm
1. Mkuti pharmacy Muhimbili branch 0677 071 654Kama una mawasiliano yao naomba maana sipo dar
Cheki hapo juu nimeweka mawasilianoNakutext pm
Yap ndio maana nimeandika hapa.Asante sana na itakuwa msaada kwa wengine pia
Ni vile lamomy anajificha, Ila hii ni business yake kubwa tuYap ndio maana nimeandika hapa.
View attachment 2816508
Ni vile lamomy anajificha, Ila hii ni business yake kubwa tuahaaa
Ni mkuti au faru pharmacy 🤔Cheki hapo juu nimeweka mawasiliano
MkutiNi
Ni mkuti au faru pharmacy 🤔