Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuionaga comment yako eti 😃...naogopa ndyoKwani unaogopa kuwa mwanamme 😄
I'd yako ya zamani please 😃😃😃Naomba tuanzishe kabifu kengine kipenzi 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Hahaaaaa mambo vp bibie 😄Sikuionaga comment yako eti 😃...naogopa ndyo
Poa za masiku😃Hahaaaaa mambo vp bibie 😄
Za masiku wapi kila siku tupo humuu 😄Poa za masiku😃
Itakua umewrong I'd my friend 😃😃Umenisahau jamani?
Yule kijana wa Kinyaki tall dark tulikutana Mwanjelwa mwaka juzi nikakwambia nilikuwa safarini Uturuki? Au nimekumix na mtu mwingine? 😳
Mbona wanaume hizo strech marks huwa ni its a turn on kwetu😜 Shemeji hakwambiagi au?Nyuma ya mapaja na kiunoni
Hebu nioneJamani michirizi inaharibu sana ngozi hasa mtu awe mweupe
Hebu nione
Mimi SinaHebu nione
PichaJamani michirizi inaharibu sana ngozi hasa mtu awe mweupe
Hata hivyo wanaume kwa asilimia kubwa tunaona inavutiaMimi Sina
Ila wanawake tunaichukiaHata hivyo wanaume kwa asilimia kubwa tunaona inavutia
Haipendez tu hata ikiwa michache ngoz kama imechanwaIkizidi haipendezi asee kuna mwanamke mmoja imejaa mikononi kama kachanwa na viwembe!
Ya kawaida at least ila isiwe ile ilopasuka sana!Haipendez tu hata ikiwa michache ngoz kama imechanwa
Ya utam kumbe ndugu😀😀ndo nasikia leoYa kawaida at least ila isiwe ile ilopasuka sana!
Wanaita mistari ya utamu wengine ya maji 🙌
Eendiwoo nasikia sikia wanasema hivo;Ya utam kumbe ndugu😀😀ndo nasikia leo