Thesis
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 1,804
- 3,113
Ni kweli bei zake lazima ziwe juu maana oil yenyewe inamwagwa baada ya kilometa elfu 20 sio mchezo, wa TZ wanavyopenda vya bei chee hiyo hawaiweziHizo hazipo mkuu nadhan ni kwa vile bei zake zipo juu mno ndo maana watu wanakwepa kuziweka dukani