Naomba kujuzwa Gereji nzuri ya kufanyia Diagnosis Dar es Salaam

Naomba kujuzwa Gereji nzuri ya kufanyia Diagnosis Dar es Salaam

Vanguard yako inaweza kuwa na gear box ya aina ya CVT. Watu wengi huwa wanatia boko kudhania kila Toyota zinashare the same and similar transmission lubricant.

Hebu tuambie service yako ya mwisho ulipobadili gear box oil uliweka aina gani ?!

Vanguard yako unatakiwa uweke hii kitu hapa chini.

View attachment 1819928View attachment 1819929

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Ni kwei kabisa. Ina gear 6 na ni CVT.

Nitaifanyia kazi mkuu.

Hizi oil zinapatikana wapi?
 
mkuu kwaharaka haraka na kwa uzoefu wangu hapo gearbox ndio anaanza kuwa bye bye na mara nyinyi wenye magari ndio mnaziua bila shaka gari yako gearbox yako ni ya CVT sasa wengi wenu niwabishi mnaweka oil ya kawaida hapo ndio shida huanza na itaendelea hivyo mwishowe kwa style hiyo itakata chain..


lkn vizuri kuipima
Mkuu mimi sio mbishi. Ni kutokujua tu na mbaya zaidi fundi wangu nae hajui.

Ngoja nibadili oil ya gearbo. Ni kwei hua naweka oil ya kawaida.
 
Naipata wapi hii mkuu.

Ahsante sana kwa ushauri. Nadhani wewe ndio unaweza kua umegundua tatizo.

Service hua nafanya kwa wakati lakini wananiwekea hizi oil za gearbox za kawaida na sio za CVT.

Je nikibadili oil hili tatizo litaisha?

Anza kufikiria kununua gearbox nyingine. Usipoteze laki 2 yako kwenda kununua lita 8 za CVT TC.
 
Screenshot_2021-06-21-06-34-42-940_com.ebay.mobile.png


Vilivyoharibika kwenye gearbox yako ni hivyo hapo. Na hiyo ndio gearbox yenyewe.
 
Naipata wapi hii mkuu.

Ahsante sana kwa ushauri. Nadhani wewe ndio unaweza kua umegundua tatizo.

Service hua nafanya kwa wakati lakini wananiwekea hizi oil za gearbox za kawaida na sio za CVT.

Je nikibadili oil hili tatizo litaisha?
Jaribu kwanza kubadili Oil, weka inayotakiwa.

Jitahidi kufanya service kwenye filling stations kama za Puma, Total
 
Inapendeza mleta mada kwa kupata muongozo...
 
Ukiwa umesimama ila gear ipo kwenye D linatetemeka au linatikisika sana au?

Service history? Tatizo lilianza lini?

Hafu gereji nyingi diagnosis Bure ila unafanya service kwao.
Gari ikiwa na shida kama hiyo tatizo uwa ni nini mkuu?
 
Back
Top Bottom