Naomba kujuzwa gharama za kujenga kwa Mkandarasi

Naomba kujuzwa gharama za kujenga kwa Mkandarasi

Mkandarasi anaweza kuwa fundi mbobezi au msomi. Au mbobezi na msomi. Chaguo ni lako, kwa sababu gharama yake (consultation fee) inatokana na factors hizo hapo juu kwa asilimia kubwa.

Mbobezi asiye msomi na msomi asiye mbobezi, gharama zao ni ndogo kuliko mkandarasi msomi na mbobezi.

Kwa kifupi, mkandarasi nguvu yake kubwa ipo kwenye consultation. Kusimamia na kushauri ujenzi hatua kwa hatua.

Mafundi, wanaweza kuwa sub-contracted, au wakawa ni wafanyakazi wa huyo mkandarasi (kampuni ya ukandarasi). Bei huwa kubwa kama utatumia kampuni kwa sababu kampuni huwalipa mshahara mafundi wake hata kama hakuna kAzi. Huwalipia bima nk.

Kuepusha gharama kubwa za ukandarasi na hapohapo kupata ubora wa ujenzi ni vyema ukatumia consultant msomi na mbobezi katika hatua ya site visitation na kuandaa michoro yote.

Ukishapata michoro yote ( hakikisha ina notes za zege i.e mkorogo wake na thickness kwenye footings, columns, beams na slab). Pia aandae BOQ.

Hiyo hatua ya mwanzo ndiyo unayotakiwa utumie hela nyingi na usiwe mbahili kwenye hatua hiyo.

Baada ya hapo, chukua mkandarasi mbobezi, fundi mwenye experience hata kama hana degree lakini keshajenga sana vifleti vya maana na hawa wapo mtaani. Na atakuja na kundi lake la vibarua.

Mpe hela kidogo msomi aliemaliza chuo karibuni, umuambie fundi mimi na huyu tutasimamia kAzi.

Gawanya kAzi kwa mkataba. Hakikisha Kila hatua imeandikiwa mkataba kabla ya kuanza.

Isiwe na haraka, ikiwezekana jenga master sebule na vuta maji kabla.
Ukifanikiwa, hiyo ramani ni mali yako na inaweza kuuzika au kutumika tena for a little fee na bado ukawa unatengeneza hela.

Ni maoni yasiyotoka kwa fundi.
Sikushauri umpe mkandarasi mmoja kAzi yote. Yaani akuchoree michoro na huyohuyo akutengenezee madirisha, No.
 
Nashukuru sana mkuu, hii imenipa mwanga!

Naangalia uwezekano wa kutoa ka-ghorofa cha floor moja ila sina imani na mafundi wa mtaani.

Ndio naona bora nijue bei ya kufanya kitu roho ikiwa na amani.
Karibu uone kazi zangu.

Jenga na Paul building agency
Screenshot_20210329-101912.png
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=5000
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13500
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Mkandarasi anaweza kuwa fundi mbobezi au msomi. Au mbobezi na msomi. Chaguo ni lako, kwa sababu gharama yake (consultation fee) inatokana na factors hizo hapo juu kwa asilimia kubwa.

Mbobezi asiye msomi na msomi asiye mbobezi, gharama zao ni ndogo kuliko mkandarasi msomi na mbobezi.

Kwa kifupi, mkandarasi nguvu yake kubwa ipo kwenye consultation. Kusimamia na kushauri ujenzi hatua kwa hatua.

Mafundi, wanaweza kuwa sub-contracted, au wakawa ni wafanyakazi wa huyo mkandarasi (kampuni ya ukandarasi). Bei huwa kubwa kama utatumia kampuni kwa sababu kampuni huwalipa mshahara mafundi wake hata kama hakuna kAzi. Huwalipia bima nk.

Kuepusha gharama kubwa za ukandarasi na hapohapo kupata ubora wa ujenzi ni vyema ukatumia consultant msomi na mbobezi katika hatua ya site visitation na kuandaa michoro yote.

Ukishapata michoro yote ( hakikisha ina notes za zege i.e mkorogo wake na thickness kwenye footings, columns, beams na slab). Pia aandae BOQ.

Hiyo hatua ya mwanzo ndiyo unayotakiwa utumie hela nyingi na usiwe mbahili kwenye hatua hiyo.

Baada ya hapo, chukua mkandarasi mbobezi, fundi mwenye experience hata kama hana degree lakini keshajenga sana vifleti vya maana na hawa wapo mtaani. Na atakuja na kundi lake la vibarua.

Mpe hela kidogo msomi aliemaliza chuo karibuni, umuambie fundi mimi na huyu tutasimamia kAzi.

Gawanya kAzi kwa mkataba. Hakikisha Kila hatua imeandikiwa mkataba kabla ya kuanza.

Isiwe na haraka, ikiwezekana jenga master sebule na vuta maji kabla.
Ukifanikiwa, hiyo ramani ni mali yako na inaweza kuuzika au kutumika tena for a little fee na bado ukawa unatengeneza hela.

Ni maoni yasiyotoka kwa fundi.
Sikushauri umpe mkandarasi mmoja kAzi yote. Yaani akuchoree michoro na huyohuyo akutengenezee madirisha, No.
Nadhani hapo kwenye mkandarasi ulikua una maanisha engineer.
 
Mkandarasi anaweza kuwa fundi mbobezi au msomi. Au mbobezi na msomi. Chaguo ni lako, kwa sababu gharama yake (consultation fee) inatokana na factors hizo hapo juu kwa asilimia kubwa.

Mbobezi asiye msomi na msomi asiye mbobezi, gharama zao ni ndogo kuliko mkandarasi msomi na mbobezi.

Kwa kifupi, mkandarasi nguvu yake kubwa ipo kwenye consultation. Kusimamia na kushauri ujenzi hatua kwa hatua.

Mafundi, wanaweza kuwa sub-contracted, au wakawa ni wafanyakazi wa huyo mkandarasi (kampuni ya ukandarasi). Bei huwa kubwa kama utatumia kampuni kwa sababu kampuni huwalipa mshahara mafundi wake hata kama hakuna kAzi. Huwalipia bima nk.

Kuepusha gharama kubwa za ukandarasi na hapohapo kupata ubora wa ujenzi ni vyema ukatumia consultant msomi na mbobezi katika hatua ya site visitation na kuandaa michoro yote.

Ukishapata michoro yote ( hakikisha ina notes za zege i.e mkorogo wake na thickness kwenye footings, columns, beams na slab). Pia aandae BOQ.

Hiyo hatua ya mwanzo ndiyo unayotakiwa utumie hela nyingi na usiwe mbahili kwenye hatua hiyo.

Baada ya hapo, chukua mkandarasi mbobezi, fundi mwenye experience hata kama hana degree lakini keshajenga sana vifleti vya maana na hawa wapo mtaani. Na atakuja na kundi lake la vibarua.

Mpe hela kidogo msomi aliemaliza chuo karibuni, umuambie fundi mimi na huyu tutasimamia kAzi.

Gawanya kAzi kwa mkataba. Hakikisha Kila hatua imeandikiwa mkataba kabla ya kuanza.

Isiwe na haraka, ikiwezekana jenga master sebule na vuta maji kabla.
Ukifanikiwa, hiyo ramani ni mali yako na inaweza kuuzika au kutumika tena for a little fee na bado ukawa unatengeneza hela.

Ni maoni yasiyotoka kwa fundi.
Sikushauri umpe mkandarasi mmoja kAzi yote. Yaani akuchoree michoro na huyohuyo akutengenezee madirisha, No.
Best comment. Asante sana
 
FAHAMU MAKISIO YA GHARAMA ZA UJENZI WA NYUMBA YAKO (+255-657-685-268)

Fahamu gharama ujenzi wa nyumba yako kwa kila steji kama MSINGI, KUTA, PAA, RANGI, DARI, MAJI, UMEME... ili uweze fanya tathimini ya uwezo wako kama upo chini au juu sanaaa na uanze kuweka mipango mikakati vyema ya kuweza kufanikisha ujenzi wa nyumba yako!
20210529_124307.jpg
 
Back
Top Bottom