Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uko wapi? Watu wangapi watakuwa kwenye hiyo safari? Umri wao na uraia wao? Ni day trip au mtakaa kwa siku ngapi?Shalom members.
Naomba kufahamu gharama za kutembelea mbuga ya Tarangire kwa kichwa. Thanks in advance.
Niko DarWewe uko wapi? Watu wangapi watakuwa kwenye hiyo safari? Umri wao na uraia wao? Ni day trip au mtakaa kwa siku ngapi?
Siku moja unamaanisha day trip yaani kuingia na kutoka au unamaanisha one night in the park?Niko Dar
Watu 2
Above 27yrs
Watanzania
Siku moja
Tuseme kutembelea mbuga na kulalaSiku moja unamaanisha day trip yaani kuingia na kutoka au unamaanisha one night in the park?
Accommodation ya level ipi unataka? Camping au lodge? Pickup na dropping point ni wapi?Tuseme kutembelea mbuga na kulala
Siku moja unamaanisha day trip yaani kuingia na kutoka au unamaanisha one night in the park?
Nakutumia mawasiliano ya kampuni kwa pm ili uhudumiwe kulingana na bajeti yakoLodge ya kawaida tu. Kiu ni kuona wanyama. Kuhusu Pickup sina uhakika the nearest point in case mtu asafiri na public means. Shukrani kwa msaada.
Shukraani mkuu ila ungependeza uweke humu ili kila anayependa kufanya hivi aone no need ya usiri hapa, hii ni mada nzuri mno na ninakazia utalii wa ndani ni muhimu mno kwa uchumi wa nchi hasa kusaidia hizi lower class, middle class mpo kwenye position ya kusukuma huu utalii wa ndani, wenzetu kwenye nchi za SADC wanafanya sana hili, just imagine kila Ijumaa kunakuwa na coaster/mabus 20 kutoka Dar kwenda Mikumi national park, jumuiya nyingi tu zitanufaika humo njianinakutumia mawasiliano ya kampuni kwa pm ili uhudumiwe kulingana na bajeti yako
Asante sana mkuu kwa interest yako lakini pricing nategemea vile vigezo nilivyouliza. Maana hata yeye mwenyewe hajui ataanzia safari wapi na ataishia wapi. Kwa mantiki hiyo inaniwia vigumu kufanya quotation. Otherwise labda kama unataka niweke humu tour packages na bei zake. Tunazo za kila aina kwa ajili ya watanzaniaShukraani mkuu ila ungependeza uweke humu ili kila anayependa kufanya hivi aone no need ya usiri hapa, hii ni mada nzuri mno na ninakazia utalii wa ndani ni muhimu mno kwa uchumi wa nchi hasa kusaidia hizi lower class, middle class mpo kwenye position ya kusukuma huu utalii wa ndani, wenzetu kwenye nchi za SADC wanafanya sana hili, just imagine kila Ijumaa kunakuwa na coaster/mabus 20 kutoka Dar kwenda Mikumi national park, jumuiya nyingi tu zitanufaika humo njiani
I love it mkuu, weka humu hasa packages za watanzania, high &low season'sAsante sana mkuu kwa interest yako lakini pricing nategemea vile vigezo nilivyouliza. Maana hata yeye mwenyewe hajui ataanzia safari wapi na ataishia wapi. Kwa mantiki hiyo inaniwia vigumu kufanya quotation. Otherwise labda kama unataka niweke humu tour packages na bei zake. Tunazo za kila aina kwa ajili ya watanzania
Fanya hivo mkuu, nione hizo packages na bei zakeAsante sana mkuu kwa interest yako lakini pricing nategemea vile vigezo nilivyouliza. Maana hata yeye mwenyewe hajui ataanzia safari wapi na ataishia wapi. Kwa mantiki hiyo inaniwia vigumu kufanya quotation. Otherwise labda kama unataka niweke humu tour packages na bei zake. Tunazo za kila aina kwa ajili ya watanzania
Haya ndio matunda ya royo tua😃😃Shalom members.
Naomba kufahamu gharama za kutembelea mbuga ya Tarangire kwa kichwa.
Thanks in advance.
M2 Tarangire? Bablai ukiwa na laki tano tu unakula maisha hata siku 3Ukiwa na 2M mnainjoy kabisa hakikisha una hio hela tu
Ukiwa na 2M mnainjoy kabisa hakikisha una hio hela tu
M2 Tarangire? Bablai ukiwa na laki tano tu unakula maisha hata siku 3
Hizi hifafhi zetu tunaziogopa tu ila bei ni rahisi sana hasa Tarangire lodge zake bei chee sana.Safi sana