Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Sas kwanini hamsemi mpaka muitane kwenye kampuni huko. Wekeni mzigo sawa hapa hapaM2 Tarangire? Bablai ukiwa na laki tano tu unakula maisha hata siku 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sas kwanini hamsemi mpaka muitane kwenye kampuni huko. Wekeni mzigo sawa hapa hapaM2 Tarangire? Bablai ukiwa na laki tano tu unakula maisha hata siku 3
Ngoja nikutumie namba ya dingi yangu ubonge nae akupe maelekezo bablaiSas kwanini hamsemi mpaka muitane kwenye kampuni huko. Wekeni mzigo sawa hapa hapa
ExactlyYes,Fanyeni hivyo ili watanzania nao waweze kushiriki huo utalii.Unajua tunaogopa sana maana hatujui basic cost kwa mtanzania(package)
Itapendeza mno wakaweka hapa hizi packages, kipindi nchi Ina heshima na adabu, utalii huu ulikuwepo hasa kwa wakaazi wa Dar kwenda mikumi national park kwa weekend, pia kumbuka zile coaster za pale Magomeni Mapipa za kwenda Morogoro hasa weekend, ila ilipoingia hii generation Lia Lia na viajira na dot.com imevuruga kabisa, wakaazi wa Mbeya,Kyela, Makambako hadi Njombe tembeleeni kule matema Beach ni mwaaaa au pale kitulo national park, kuna maua pale dunia nzima hawana!,Mwenyezi Mungu katupa nchi nzuri tu ila sisi tunavuruga tu,ona Dar tungeijenga kwa mpangilio mzuri sana,fly over kuanzia msimbazi inakumwaga ubungo, suspension bridge pale Ferry kwenda kigamboni, fly over kuanzia seamen club inakumwaga mtoni....,anyway tutafika huko tumechoka sanaSas kwanini hamsemi mpaka muitane kwenye kampuni huko. Wekeni mzigo sawa hapa hapa
Uko so kind be blessednakutumia mawasiliano ya kampuni kwa pm ili uhudumiwe kulingana na bajeti yako
Inategemea unalala sehemu gani,labda uingie na ukishamaliza mizunguko yako ukalale mtaani nje ya pale,kuna lodge moja iko mle ndani inaitwa Sopa, usiku mmoja ni ni kama 1.2m...M2 Tarangire? Bablai ukiwa na laki tano tu unakula maisha hata siku 3
Wee msingi wangu huoo aloohh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukiwa na 2M mnainjoy kabisa hakikisha una hio hela tu
Starehe gharamaWe're msingi wangu huoo aloohh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kiujumla ni kuwa ni bei rahisi hasa Tarangire, tunaziogopa tuInategemea unalala sehemu gani,labda uingie na ukishamaliza mizunguko yako ukalale mtaani nje ya pale,kuna lodge moja iko mle ndani inaitwa Sopa usiku mmoja ni ni kama 1.2m...
Inategemea unalala sehemu gani,labda uingie na ukishamaliza mizunguko yako ukalale mtaani nje ya pale,kuna lodge moja iko mle ndani inaitwa Sopa usiku mmoja ni ni kama 1.2m...
Nitumie nami[emoji120]Ngoja nikutumie namba ya dingi yangu ubonge nae akupe maelekezo bablai
Kuna kitu hakipo sawa sehemu.....Amini hili.Sas kwanini hamsemi mpaka muitane kwenye kampuni huko. Wekeni mzigo sawa hapa hapa
Competition reasons tu. Unaweza kuweka bei hadharanj kwa nia nzuri tu ila mshindani wako akazitumia kukuibia potential client.Kuna kitu hakipo sawa sehemu.....Amini hili.
Hizi tented lodges mkuu nazo huwa ni za moto sana,kuna watalii wametoka huko kwenye maraha yao huwa wanajaribu kuonja maisha ya kimbuga yamekaaje,hizo ukiingia ndani zilivyokuwa well furnished,ndio utajua kuwa hujui...![]()
Maramboi Tented Lodge - Tarangire National Park - Tripadvisor
www.tripadvisor.com
wewe huna hela nenda katembelee poli liloko karibu nawe tangu lini mtalii akauliza hele hili akataliiShalom members.
Naomba kufahamu gharama za kutembelea mbuga ya Tarangire kwa kichwa.
Thanks in advance.
Kajifunze kiswahili kwanzawewe huna hela nenda katembelee poli liloko karibu nawe tangu lini mtalii akauliza hele hili akatalii
Ninalifanyia kazi. Nitapost packages humuItapendeza mno wakaweka hapa hizi packages, kipindi nchi Ina heshima na adabu, utalii huu ulikuwepo hasa kwa wakaazi wa Dar kwenda mikumi national park kwa weekend, pia kumbuka zile coaster za pale Magomeni Mapipa za kwenda Morogoro hasa weekend, ila ilipoingia hii generation Lia Lia na viajira na dot.com imevuruga kabisa, wakaazi wa Mbeya,Kyela, Makambako hadi Njombe tembeleeni kule matema Beach ni mwaaaa au pale kitulo national park, kuna maua pale dunia nzima hawana!,Mwenyezi Mungu katupa nchi nzuri tu ila sisi tunavuruga tu,ona Dar tungeijenga kwa mpangilio mzuri sana,fly over kuanzia msimbazi inakumwaga ubungo, suspension bridge pale Ferry kwenda kigamboni, fly over kuanzia seamen club inakumwaga mtoni....,anyway tutafika huko tumechoka sana