Naomba kujuzwa intake za police pamoja na muda wa mafunzo

Naomba kujuzwa intake za police pamoja na muda wa mafunzo

Kimnjemo

Senior Member
Joined
Mar 20, 2024
Posts
110
Reaction score
197
Jamani ndugu kwa unyenyekevu mkubwa nilikua naomba msaada kujua ni muda gani hasa wa kuripoti kwenye mafunzo ya upolisi na yatachukua muda gani Hadi kukamilika.

Yeyote mwenye uelewa tafadhali🙏
 
Jamani ndugu Kwa unyenyekevu mkubwa nilikua naomba msaada kujua ni muda gani hasa wa kuripoti kwenye mafunzo ya upolisi na yatachukua muda gani Hadi kukamilika yeyote mwenye uelewa tafadhali🙏
 
Jamani ndugu Kwa unyenyekevu mkubwa nilikua naomba msaada kujua ni muda gani hasa wa kuripoti kwenye mafunzo ya upolisi na yatachukua muda gani Hadi kukamilika yeyote mwenye uelewa tafadhali🙏
Confirm kwanza ku report kambini. Plus acha uoga kapige kozi wa kiume wewe kaza
 
depo sasa hivi ni mwaka mmoja, miaka ya nyuma ilikuwa ni miezi 9
 
Mkuu mbona ndio kwanza nafasi zimetangazwa na deadline hata haijaisha imesogezwa tena mpaka tarehe 26, hapo watakaa hadi waite interview baada ya hapo wakae tena ndio waite watu kwa ajili ya mafunzo siyo leo wala kesho, na muda wa mafunzo ni mwaka mmoja kwa Polisi
 
Mkuu mbona ndio kwanza nafasi zimetangazwa na deadline hata haijaisha imesogezwa tena mpaka tarehe 26, hapo watakaa hadi waite interview baada ya hapo wakae tena ndio waite watu kwa ajili ya mafunzo siyo leo wala kesho, na muda wa mafunzo ni mwaka mmoja kwa Polisi
Poa shuklani kiongoz
 
Back
Top Bottom