Bratherkaka
Senior Member
- Apr 30, 2012
- 101
- 10
Guys,
Nimepata Choja ya covid19 week ya kwanza tu ya utojia,
Hadi leo sijapata message ya kupata cheti,
Naona wanaona choma hivi karibu wanapata message zina link ya cheti,
Njia gani naweza pata cheti, nimeangalia kwenye website ya wizara ya afya bila mafanikio.
Help me out.
Thanks
Nimepata Choja ya covid19 week ya kwanza tu ya utojia,
Hadi leo sijapata message ya kupata cheti,
Naona wanaona choma hivi karibu wanapata message zina link ya cheti,
Njia gani naweza pata cheti, nimeangalia kwenye website ya wizara ya afya bila mafanikio.
Help me out.
Thanks