Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninamfahamu, ameniomba sana akasalimie familia!Akikimbia unabaki na msalaba,
kama unamfaham na kumjua wala haina shidaNimemwekea mtu dhamana Mahakamani, je, anaruhusiwa kusafiri?
Pia inategemea na kosa lenyewe... Hata kama mmeshibana haswa lolote linaweza kutokea.Ninamfahamu, ameniomba sana akasalimie familia!
Asante Mkuu!kama unamfaham na kumjua wala haina shida
Kama unaweza ku take risk mruhusu aende ila kama unahisi huwezi kabisa na nafsi yako inakusita bora lawama kuliko hasara.Ninamfahamu, ameniomba sana akasalimie familia!
Kesi ya KiofisiAna kesi gani Kwanza .asije akakuachia mashuka
Hapo sidhani kama anaweza kimbiaKesi ya Kiofisi
Kama hajui why amecomment hahaha, nadhani hicho kimemtibua huyo mjomba hapo juuKuueleza ukweli wake anakuwa fool?
Sipendi kuiweka wazi sana, lakini ni mambo ya kimahesabu. In between 100-200m. (nadhani nimeeleweka)Hapo sidhani kama anaweza kimbia
Ninamfahamu, ameniomba sana akasalimie familia!