Naomba kujuzwa juu ya makampuni ambayo ni rahisi kuingia nayo katika busines venture!

Naomba kujuzwa juu ya makampuni ambayo ni rahisi kuingia nayo katika busines venture!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
In short nina eneo ambalo ni very potential kwa biashara ya apartment's, lengo ni kupata mbia atakaye jenga jengo la ghorofa labda 15, yeye akachukua ten floors, akanipatia 5 floors, tukamalizana mazima, ten floors tittle kwa jina lake, na 5 floors zikawa titled kwa jina langu,
Je venture, au kampuni gani inaweza kufacilitate suala hili.
Help!
 
kampuni zinazofanya biashara izi ni chache sana , na inabidi uwe na a very potential space ili wakutafute. So kama unaamini u have a potential place andika business proposal in a very simple way alafu wewe ndo uzitafute izi kampuni. La sivyo tafuta rich individuals mfanye biashara
 
Kama una eneo kubwa liko Oysterbay , masaki, kariakoo, upanga , posta

Nenda kaongee na madalali wa kariakoo . Mwekezaji anapatikana fasta sana.

Muhimu hati iwe na jina lako kwamba wewe ndie mmiliki halali.
 
Back
Top Bottom