Naomba kujuzwa kampuni zinazopokea wanafunzi wa field Mbeya

Naomba kujuzwa kampuni zinazopokea wanafunzi wa field Mbeya

Charlie P

New Member
Joined
Mar 4, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Habari,

Naomba kwa yeyote anaejua kampuni au sehem nyingine ambapo wanapokea wanafunzi wa field kwa kozi ya degree of marketing and public relations mkoa wa Mbeya.
 
Back
Top Bottom