Naomba kujuzwa, kesi CMA inaweza kuchukuwa muda gani?

Naomba kujuzwa, kesi CMA inaweza kuchukuwa muda gani?

Rcrusso Jr

Senior Member
Joined
Jul 26, 2020
Posts
184
Reaction score
421
Habarini,

Naamini wote mu wazima, wakuu msaada kujuzwa kimsingi kesi CMA inaweza kwenda muda gani?

Na kama zaidi ya mara mbili unapata ushindi mshtakiwa anakata rufaa.

Au wakati kesi yaendelea hatokei siku ya kuitwa mara kwa mara na mara nyingine hatoi tarifa ya udhuru kabisa.

Msaada wenu please. Je, mara ngapi asipofika kesi iamriwe? Je mwisho ngapi rufaa?
 
wakuu msaada kujuzwa kimsingi kesi CMA inaweza kwenda muda gani?
Muda hutofautiana kutokana na mazingira ya case husika.​
Na kama zaidi ya mara mbili unapata ushindi mshtakiwa anakata rufaa.
Hili aliwezekani kwani katika case za ajira zinazosikilizwa CMA hakuna haki ya rufaa bali ni marejeo (Revision), unless otherwise ulikua ukimaanisha revision​
Au wakati kesi yaendelea hatokei siku ya kuitwa mara kwa mara na mara nyingine hatoi tarifa ya udhuru kabisa.
Hapa unaweza kuiomba tume (CMA) waendelee kusikiliza case upande mmoja kama wewe ndiye mwenye case ama waifute case kama wewe ndiye mshitakiwa
 
Muda hutofautiana kutokana na mazingira ya case husika.

Hili aliwezekani kwani katika case za ajira zinazosikilizwa CMA hakuna haki ya rufaa bali ni marejeo (Revision), unless otherwise ulikua ukimaanisha revision

Hapa unaweza kuiomba tume (CMA) waendelee kusikiliza case upande mmoja kama wewe ndiye mwenye case ama waifute case kama wewe ndiye mshitakiwa
Mimi ndio mshtaki mkuu, yes nilimanisha revison.. ila mshtakiwa mara nyingi hatukei kwa muamuzi..na mwanzo tulishinda .. tumerudi upya.. ilichukua mwaka miezi minne
 
Back
Top Bottom