Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,259
- 1,056
Mkuu unaweza ukashare na sisi hiyo elimu yako na kwamba kwanini asinunue? Maana umesema kuwa wewe ni expert wa European Cars ila sasa kwanini hii hapa umeipa big NO as opposed to Opel, Discovery na Audi ambazo huwa unazipa positive review.Mimi ni 'mtaalamu' wa gari za Euro especially UK nakwambia kifupi tu USINUNUE.
1.Not reliable
Jamani mnaojua kuhusu hili gari nijuzeni...kuna jamaa yangu anataka niuzia.
Ila kabla sijafanya nae biashara nimeona nije huku mnipe siri ya hili gari..
Je,matumizi yake ya mafuta vip?
spea zake zinapatikana kiurahisi kweli,?maana alitumiwa toka UK.
Na vip kuhusu uimara wake?
Karibuni wataalam...
Kiongozi, umenigusa hapo kwenye Chevrolet Cruze na Suzuki Swift. Kimuonekano yapo kama vile yanafanana sana, nilidhani hata spare parts zake zingeingiliana, kumbe sio. Ukizingatia yametengenezwa jointly na kampuni ya Suzuki.
Je, unaijua vizuri Chevrolet Cruze? Naziona sana siku hizi lakini je, uimara, upatikanaji wa vipuri na fuel consumption ipoje? Nilipita pale ilala kufanya dodoso kidogo, jamaa mmoja akaniambia eti suzuki nisijaribu hata siku moja, sio imara na vipuri ni ghali.
Uzoefu wako tafadhali.
Acha akili za kimasikini mkuu.Achana na European cars utajuta
Acha akili za kimasikini mkuu.
Hivi european car unaweza fananisha na hizo asian car mkuu.ww mwenyewe sio kwamba hupendi kuendesha european car sema ndio hivyoo usawa hauruhusu tuu
Toyota mkombozi was wanyongemafuta linameza,spare zake ilala hakuna,kama mfukoni uko safi nunua tu ila kama za kuunga unga go for toyota
Sidhani kama ni kweli ukombozi huo sijajua ww wauzungumziaje??..mtu anaye kunyonya /kukula kila siku kidogo kidogo ndio mkombozi wa wanyonge??.Toyota mkombozi was wanyonge