Naomba kujuzwa kuhusu gari aina ya Vauxhall

Naomba kujuzwa kuhusu gari aina ya Vauxhall

Mimi ni 'mtaalamu' wa gari za Euro especially UK nakwambia kifupi tu USINUNUE.
Mkuu unaweza ukashare na sisi hiyo elimu yako na kwamba kwanini asinunue? Maana umesema kuwa wewe ni expert wa European Cars ila sasa kwanini hii hapa umeipa big NO as opposed to Opel, Discovery na Audi ambazo huwa unazipa positive review.
MCHANGO WAKO TAFADHALI
 
79d7d5d5f0a8804c95ae484eb999812f.jpg


Jamani mnaojua kuhusu hili gari nijuzeni...kuna jamaa yangu anataka niuzia.
Ila kabla sijafanya nae biashara nimeona nije huku mnipe siri ya hili gari..
Je,matumizi yake ya mafuta vip?
spea zake zinapatikana kiurahisi kweli,?maana alitumiwa toka UK.
Na vip kuhusu uimara wake?

Karibuni wataalam...
1.Not reliable
2.Spares bongo hamna

Ikiharibika,ambalo ni jambo la kawaida, utapata wapi spares?
Nimeendesha hio gari UK brand new ya kampuni. Ilikuwa diesel engine gear sita manual. Inakimbia,iko stable. Ni moja ya cheap cars UK lakini ikishachoka itakupasua kichwa.

Nilioendesha iliuzwa ikiwa na 70,000miles maana ilishaanza kusumbua.
Katika gari za UK epuka Vauxhall, Rover na Freelander 1(98-2005).
 
Mkuu labda ununue ukakate skrepa bongo ukitaka gari nunua Toyota tu kwa kule kenya wao wanapenda Nissan sana
 
Kiongozi, umenigusa hapo kwenye Chevrolet Cruze na Suzuki Swift. Kimuonekano yapo kama vile yanafanana sana, nilidhani hata spare parts zake zingeingiliana, kumbe sio. Ukizingatia yametengenezwa jointly na kampuni ya Suzuki.

Je, unaijua vizuri Chevrolet Cruze? Naziona sana siku hizi lakini je, uimara, upatikanaji wa vipuri na fuel consumption ipoje? Nilipita pale ilala kufanya dodoso kidogo, jamaa mmoja akaniambia eti suzuki nisijaribu hata siku moja, sio imara na vipuri ni ghali.

Uzoefu wako tafadhali.

Nasubiria ufafanuzi kwenye SUZUKI
 
Achana na European cars utajuta
Acha akili za kimasikini mkuu.
Hivi european car unaweza fananisha na hizo asian car mkuu.ww mwenyewe sio kwamba hupendi kuendesha european car sema ndio hivyoo usawa hauruhusu tuu
 
Acha akili za kimasikini mkuu.
Hivi european car unaweza fananisha na hizo asian car mkuu.ww mwenyewe sio kwamba hupendi kuendesha european car sema ndio hivyoo usawa hauruhusu tuu

European cars ni nzuri, ila kwa mazingira ya kinyumbani ni shida. Hizi gari za kizungu VW, Peugeot, BMW, Citroen, Vauxhall na nyingine zinatengenezwa kwa namna ya hali ya hewa yao ilivyo. Pia zinakuwa na Life span. Nyingi zikishafikisha miles 70,000 basi. Wenyewe wana schemes zao wanarudisha kwa dealer wanapewa gari nyingine.

Ila Gari za Japan ambazo zipo ulaya ni Nzuri. Mfano Carina E, Avensis, Hilux etc.

Achana nao hiyo itakuumiza kichwa.
 
Toyota mkombozi was wanyonge
Sidhani kama ni kweli ukombozi huo sijajua ww wauzungumziaje??..mtu anaye kunyonya /kukula kila siku kidogo kidogo ndio mkombozi wa wanyonge??.
 
Back
Top Bottom