Moment of silent
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 855
- 1,483
Mkuu lile jambo linafanywa na watu kama sisi halifanywi na malaika lazm u brothernization uwepoHakuna wenyewe mkuu amin nenda utapata hakuna wenyewe kabisa ni za utumishi izo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu lile jambo linafanywa na watu kama sisi halifanywi na malaika lazm u brothernization uwepoHakuna wenyewe mkuu amin nenda utapata hakuna wenyewe kabisa ni za utumishi izo
Mdogo wako kasomea course gani mkuu?mdogo wangu aisee kapiga moja tuu kimasihara katoboa mm kila nikipiga sitoboi kuna moja nilifika mpaka kwa oral tukawa 20 nafasi 8 nikajipa uwakika kabisa natoboa duu mwisho wa siku yale yale
Mkuu lile jambo linafanywa na watu kama sisi halifanywi na malaika lazm u brothernization uwepo
Kaajiriwa hizi nafasi 4 zilizotoka hivi karibuni aubusiness administration
business administration
Ilo nalijua mkuu, ila kadri siku zinavyokwenda uhaba wa ajira unakuwa zaidi so, kiasi connection iongezeke kwa kasi hata huko utumishi, ukiachilia taasisi za umma kamchukue, lete vyeti vyake, nipe namba yake ya simu na son.Naelewa lkn ni kwa kiasi kidogo sana mkuu mi kuna washkaj zangu na ndugu zangu wengi tu wamepita bila connection mkuu
Sasa kama mkuu za hv karibuni ata kuitisha interview bado, vp awe tayar ameajiriwa maana deadline yake ni trh 29NovNi
Kaajiriwa hizi nafasi 4 zilizotoka hivi karibuni au
Ukifikiria hivyo utaumia sana. Mimi nilipo naingiza zaidi ya sh. milioni 300 kwa mwezi. Mshahara wake sasa....... Asante Mungu ipo siku na sisi tutaboa tu. Ni kujipa moyo tu. Ila ukipata nafasi inayolipa zaidi, basi unachomoka fasta. Au uhakika ni kujiajiri tu, endapo utapata mfereji ulionyooka, au hata kama utakuwa na kona kona, basi zisiwe nyingi sana.Kibua unajua sisi ndo tunafany kazi nyingi sanaa na za muhimu kwenye jamii na tunakusanya mapato makubwa ukiacha tra kwa mfano kitengo changu unaona kabisaa mupunga mwingii tuu unaingia lkn wanatubania sijui kwann sem kikubwa uhai tuu
Achana na hizi ambazo deadline bado Kuna nyingine tulifanya mwezi wakumi ambapo Mimi pia nilifanya tukachaguliwa kwenye oral watu 20 walitoa majina manne walioitwa kazini mwezi huu ambapo Mimi sikubahatikaSasa kama mkuu za hv karibuni ata kuitisha interview bado, vp awe tayar ameajiriwa maana deadline yake ni trh 29Nov
Ahaa Mimi naongelea zile za assistant commercial officer zilitoka kabla ya izo za ticketing nazani walichukua majina kwenye databasesio majina manne ni saba yale ya tar 9 nadhani ya traveling ticket
Ile Pepa nilishika namba mbili mkuu nilipata 74 Ila sijajua kwanini hawajanichaguaahaaaa na mm nilikuwepo mkuu sema walinikata toka kwenye written aiseee ule pepa wa kupata 40 kweli dah
DooohIle Pepa nilishika namba mbili mkuu nilipata 74 Ila sijajua kwanini hawajanichagua
Trcs4 ngap kakaaaHapana wote wa diploma wanaanzia trcs 3 ambayo tsh 545000 tu...
Posho ya nyumba 10%
Posho maalum 30000/
Labda upige na OVERTIME
[emoji28][emoji28]