Naomba kujuzwa kuhusu mishahara TRC

Naomba kujuzwa kuhusu mishahara TRC

Maana utumishi nishagonga pepa za kutosha sitoboi na unakuta paper rahisi tu ila hiyo competition ya watu noma
Na civil mnakuaga wengi k** 😁😁 utatoboa vipi,
Si mechanical tunakuwaga labda 100 ila huelew umekosa kosa vp,
Na tangia wamehamia dom interview zao sikanyagi,,
Nichome nauli nijute mara mbili
 
Na civil mnakuaga wengi k** 😁😁 utatoboa vipi,
Si mechanical tunakuwaga labda 100 ila huelew umekosa kosa vp,
Na tangia wamehamia dom interview zao sikanyagi,,
Nichome nauli nijute mara mbili
Hutaki ujute mara mbili 😂😂😂 ungese sana yaan mtu unaweza ukapiga interview za utumishi hadi ukachoka na usitoboe make ukizingatia wahitimu kibao kama kumbi kumbi, wengine saa hv tumeona tuangalie mishe nyengine 🤒
 
Hutaki ujute mara mbili 😂😂😂 ungese sana yaan mtu unaweza ukapiga interview za utumishi hadi ukachoka na usitoboe make ukizingatia wahitimu kibao kama kumbi kumbi, wengine saa hv tumeona tuangalie mishe nyengine 🤒
Dah noma sana inakatisha sana tamaa,
Kama zile za ruwasa niliomba kishida shida kweli niko tanga nimekula mguu makorola hadi mjini office za ruwasa,
Hela enyewe ya kuchapa nimeunga unga mia mia kwa wasamalia dah,
Alaf simo 😁😁,
Mpaka nasema hii so mipango ya mungu hii mipqngo ya wat offisini wamepanga wat wao,
Kama ungekua mpango wa mungu na mi nngekuwemo maana msoto nlopitia hadi nimekusanya zile karatasi kaushuhudia kutoka juu..
 
Dah noma sana inakatisha sana tamaa,
Kama zile za ruwasa niliomba kishida shida kweli niko tanga nimekula mguu makorola hadi mjini office za ruwasa,
Hela enyewe ya kuchapa nimeunga unga mia mia kwa wasamalia dah,
Alaf simo 😁😁,
Mpaka nasema hii so mipango ya mungu hii mipqngo ya wat offisini wamepanga wat wao,
Kama ungekua mpango wa mungu na mi nngekuwemo maana msoto nlopitia hadi nimekusanya zile karatasi kaushuhudia kutoka juu..
Tukiambiwa vijana tutafute connection, tunasema we are depending on hardworking hayo ndio madhara ya kupoteza mda na rasilimali fedhwa.. Kwa dunia ya saa hv connection inamata zaidi ya jitihada
 
Habari wana jamvi wa jf,

Jana nilipost uzi nikiomba kujua ngazi za mishahara kwa shirika la reli la tz TRC kwa TRCS3 na TRCS4 kwasababu nina mdogo wangu kachaguliwa commercial assistance office lakini nilijibiwa makuzi tuu yaani hiyo ifike million 1.3 na 1.4 wakati iyo ni kwa level ya diploma.

Kama ni kweli basi kuna haja ya serikali kupitia upya kuna watu wanaelimu kubwa haswa halmashauri ila malipo tunayopewa dah mungu anajua tuu
Pole tafuta uhamisho uhamie katika taasisi nyingine ta umma,internal transfer hahaaa
 
acha tuu mkuu kuna mda unatamani kuacha ukiwaza kitaa kilivyo kigumu dah unaona bora ukaz
Hv juzi kati hao TRC wametoa nafasi kwa kada tofauti nadhani hata deadline yake haijafika bado vipi uliomba?

Mie nliomba ila sidhani hata kama nikiitwa usaijili nitaenda nisije nikachoma nauli yangu bure ukizingatia nafasi zenyewe 8 tu kwa civil engineers huku kumbe zina wenyewe aaah hii nchi ngumu hii.

Tafuta uhamisho aisee au haujui kuwa watumishi wa serikali Wana internal transfer? Mbona wapo wanaohama?
Kuna jamaa yangu alikuwa transport office katika halmashauri katafuta transfer kahamia chuoni sahivi nii tutorial assistant salary scale imebadilika yaani Kam una check number unaweza hamia taasisi yoyote ya umma komaa kutafuta transfer
 
Tatizo linakuja kwa Waajiri ni wagumu kupitisha uhamisho na pia ukiwa na connection kwenye taasisi unayohamia itakuwa rahisi kupata hiyo transfer
 
kuna dogo interview ya mwez wa kumi kaingia kwenye oral hata dakika 5 hajamaliza afu kapita mzee na njee aliniomba nimsaidie zile duties & rensponsibilities
Si utafute internal transfer mkuu
Tatizo linakuja kwa Waajiri ni wagumu kupitisha uhamisho na pia ukiwa na connection kwenye taasisi unayohamia itakuwa rahisi kupata hiyo transfer
Hapo Sasa ni kupambana, connection zinatafutwa hazijizenyewe huyo jamaa ninayemsema alipambana Sana akafanikiwa
 
Tukiambiwa vijana tutafute connection, tunasema we are depending on hardworking hayo ndio madhara ya kupoteza mda na rasilimali fedhwa.. Kwa dunia ya saa hv connection inamata zaidi ya jitihada
Ukiwa na connection jitihada duni siku anayekubeba akitoka unapossibility ya kuyumba
 
Hutaki ujute mara mbili [emoji23][emoji23][emoji23] ungese sana yaan mtu unaweza ukapiga interview za utumishi hadi ukachoka na usitoboe make ukizingatia wahitimu kibao kama kumbi kumbi, wengine saa hv tumeona tuangalie mishe nyengine [emoji855]
Ingieni kubet mpira, unaweza tajirika sekunde moja tu. Hata hii michezo ya casino ni bomba!
 
Dah noma sana inakatisha sana tamaa,
Kama zile za ruwasa niliomba kishida shida kweli niko tanga nimekula mguu makorola hadi mjini office za ruwasa,
Hela enyewe ya kuchapa nimeunga unga mia mia kwa wasamalia dah,
Alaf simo [emoji16][emoji16],
Mpaka nasema hii so mipango ya mungu hii mipqngo ya wat offisini wamepanga wat wao,
Kama ungekua mpango wa mungu na mi nngekuwemo maana msoto nlopitia hadi nimekusanya zile karatasi kaushuhudia kutoka juu..
Ukiziangalia sayari zilivyo kwenye orbit, unaweza kuniambia juu ni wapi?
 
Back
Top Bottom