- Thread starter
- #61
little master ahaaa so wote wapo range moja mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay ila Kuna bwana mdogo wangu alikuja na barua inamuonyesha hivyo kwa basic hiyo ya 545 na increment ya 30k kwa mwaka.little master ahaaa so wote wapo range moja mkuu
TRC hakuna hiyo zaidi ya home allowance na posho maalum. Yani watu hawajui tuHakuna kingine kwa dip mkuu
Na civil mnakuaga wengi k** 😁😁 utatoboa vipi,Maana utumishi nishagonga pepa za kutosha sitoboi na unakuta paper rahisi tu ila hiyo competition ya watu noma
Hutaki ujute mara mbili 😂😂😂 ungese sana yaan mtu unaweza ukapiga interview za utumishi hadi ukachoka na usitoboe make ukizingatia wahitimu kibao kama kumbi kumbi, wengine saa hv tumeona tuangalie mishe nyengine 🤒Na civil mnakuaga wengi k** 😁😁 utatoboa vipi,
Si mechanical tunakuwaga labda 100 ila huelew umekosa kosa vp,
Na tangia wamehamia dom interview zao sikanyagi,,
Nichome nauli nijute mara mbili
Bhas kama hvyo hakuna ishu kama wengi tunavyojipa matumain et dip .anaaza 1M na kitu kama take homeOkay ila Kuna bwana mdogo wangu alikuja na barua inamuonyesha hivyo kwa basic hiyo ya 545 na increment ya 30k kwa mwaka.
Dah noma sana inakatisha sana tamaa,Hutaki ujute mara mbili 😂😂😂 ungese sana yaan mtu unaweza ukapiga interview za utumishi hadi ukachoka na usitoboe make ukizingatia wahitimu kibao kama kumbi kumbi, wengine saa hv tumeona tuangalie mishe nyengine 🤒
TRC hii dip uanze M haijawahi tokea may be huko baadae sanaBhas kama hvyo hakuna ishu kama wengi tunavyojipa matumain et dip .anaaza 1M na kitu kama take home
Tukiambiwa vijana tutafute connection, tunasema we are depending on hardworking hayo ndio madhara ya kupoteza mda na rasilimali fedhwa.. Kwa dunia ya saa hv connection inamata zaidi ya jitihadaDah noma sana inakatisha sana tamaa,
Kama zile za ruwasa niliomba kishida shida kweli niko tanga nimekula mguu makorola hadi mjini office za ruwasa,
Hela enyewe ya kuchapa nimeunga unga mia mia kwa wasamalia dah,
Alaf simo 😁😁,
Mpaka nasema hii so mipango ya mungu hii mipqngo ya wat offisini wamepanga wat wao,
Kama ungekua mpango wa mungu na mi nngekuwemo maana msoto nlopitia hadi nimekusanya zile karatasi kaushuhudia kutoka juu..
Kwamba hizi posho ni lazima au?Posho ni 300,000 sio 30,000.
Pole tafuta uhamisho uhamie katika taasisi nyingine ta umma,internal transfer hahaaaHabari wana jamvi wa jf,
Jana nilipost uzi nikiomba kujua ngazi za mishahara kwa shirika la reli la tz TRC kwa TRCS3 na TRCS4 kwasababu nina mdogo wangu kachaguliwa commercial assistance office lakini nilijibiwa makuzi tuu yaani hiyo ifike million 1.3 na 1.4 wakati iyo ni kwa level ya diploma.
Kama ni kweli basi kuna haja ya serikali kupitia upya kuna watu wanaelimu kubwa haswa halmashauri ila malipo tunayopewa dah mungu anajua tuu
Kuna jamaa yangu alikuwa transport office katika halmashauri katafuta transfer kahamia chuoni sahivi nii tutorial assistant salary scale imebadilika yaani Kam una check number unaweza hamia taasisi yoyote ya umma komaa kutafuta transferacha tuu mkuu kuna mda unatamani kuacha ukiwaza kitaa kilivyo kigumu dah unaona bora ukaz
Hv juzi kati hao TRC wametoa nafasi kwa kada tofauti nadhani hata deadline yake haijafika bado vipi uliomba?
Mie nliomba ila sidhani hata kama nikiitwa usaijili nitaenda nisije nikachoma nauli yangu bure ukizingatia nafasi zenyewe 8 tu kwa civil engineers huku kumbe zina wenyewe aaah hii nchi ngumu hii.
Tafuta uhamisho aisee au haujui kuwa watumishi wa serikali Wana internal transfer? Mbona wapo wanaohama?
Si utafute internal transfer mkuukuna dogo interview ya mwez wa kumi kaingia kwenye oral hata dakika 5 hajamaliza afu kapita mzee na njee aliniomba nimsaidie zile duties & rensponsibilities
Hapo Sasa ni kupambana, connection zinatafutwa hazijizenyewe huyo jamaa ninayemsema alipambana Sana akafanikiwaTatizo linakuja kwa Waajiri ni wagumu kupitisha uhamisho na pia ukiwa na connection kwenye taasisi unayohamia itakuwa rahisi kupata hiyo transfer
Ukiwa na connection jitihada duni siku anayekubeba akitoka unapossibility ya kuyumbaTukiambiwa vijana tutafute connection, tunasema we are depending on hardworking hayo ndio madhara ya kupoteza mda na rasilimali fedhwa.. Kwa dunia ya saa hv connection inamata zaidi ya jitihada
Tarehe ngapi usailiwameitwa usajili leo
Ingieni kubet mpira, unaweza tajirika sekunde moja tu. Hata hii michezo ya casino ni bomba!Hutaki ujute mara mbili [emoji23][emoji23][emoji23] ungese sana yaan mtu unaweza ukapiga interview za utumishi hadi ukachoka na usitoboe make ukizingatia wahitimu kibao kama kumbi kumbi, wengine saa hv tumeona tuangalie mishe nyengine [emoji855]
Ukiziangalia sayari zilivyo kwenye orbit, unaweza kuniambia juu ni wapi?Dah noma sana inakatisha sana tamaa,
Kama zile za ruwasa niliomba kishida shida kweli niko tanga nimekula mguu makorola hadi mjini office za ruwasa,
Hela enyewe ya kuchapa nimeunga unga mia mia kwa wasamalia dah,
Alaf simo [emoji16][emoji16],
Mpaka nasema hii so mipango ya mungu hii mipqngo ya wat offisini wamepanga wat wao,
Kama ungekua mpango wa mungu na mi nngekuwemo maana msoto nlopitia hadi nimekusanya zile karatasi kaushuhudia kutoka juu..