Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,213
- 13,253
Watanzania ndiyo njisi tulivyo, baadala ya kuchangia maada unapost mawazo mgado kabsa
hapo nikija na thread ya mapenzi, watu wangetoa point.
maskin nchi yangu iliyojaa vijana wavivu...
Mkuu usipende kuletewa ulitakiwa ufanye research yako binafsi.
Najua akili yako imewaza mambo mengi sana na yenye maana ila kinachokuangusha ni uvivu.
Hivi unafikir akina newton,karl marx na wengineo wangekuwa na uvivu kama wako hii dunia ingekuwaje?
Jaribu kujijengea hali ya kuwa mtafit utafika mbali sana.
Ukitegemea mawazo ya akina Bull dog na Mgirik tutakudanganya bure na utaamin kitu cha uwongo
Last edited by a moderator: