MhIkitoka Mbeya itakuja Arusha
ya ngaramtoni na donyosambu tunakulaga kama mbogaMacharii wa arusha wanapenda zile nyimbo zao,
"Kimbau mbau kanenepa kawa tuku nyema[emoji443] " sasa nyimbo gani hizo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sijui na nyingine inaimbwa mamong'oo macharee machhaa sijui nn mi sielewi hawa jamaa wa arusha cjui wanatumia bangi kama mboga[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lakin zanzibar ni kwa sababu ya dini sio vurugu wapole sana wale watu yakheeArusha, Tarime, Zanzibar KOTE HAWAFIKI
Wale washkaji wakifika kila mkoa huwa wanatumia viwanja vya mpira, sasa kwa zanzibar walikuwa wanatumia ngome kongwe, kutokana na udogo wa ngome kongwe kunasababisha ukumbi usiingie watu wengi, ndomana ikawa vile,Lakin zanzibar ni kwa sababu ya dini sio vurugu wapole sana wale watu yakhee