Chalii wa "R" ni shidaaaaNa ule wa Tash, hauuh hauuh hauuuh chapia....
Hahaha Musoma penyewe hawaendi Tarime haimooooooo miaka 8999Kwani Tarime nako wamewahi peleka
Watu wanacheza huku wana sime na mapanga viunoniHahaha Musoma penyewe hawaendi Tarime haimooooooo miaka 8999
Mwaka huu fiesta ipo arusha mkuuArusha haiwezi kuja fiesta wala kili music award cos mara ya mwisho kuja arusha kulitokeaga fujo na wakinadada wengi walibakwa hivyo ilitolewa kama adhabu kama sikosei ni hadi miaka 5 iishe
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hahahaaa unazungumzia lake shore? Mi nilifika kipili na kirando ndio nikaskia shoziniga nae alitimba pande hizo ingawa hata wenyeji wa pale kipili nao wanaskia kuwa anodi alitimba sasa nikashangaa mi mgeni naskia na wenyeji nao wanaskia sasa nani alimuona?Ahsante kwa kunirekebisha ndo Huyo unayemjua alishafika huku miaka mngi sana na ana hotel yaake uko kandokando ya ziwa Tanganyika ni nzuri in hotel ya kitalii
Hatarii msanii akijichanganya anarushiwa rungu stejini. Nakumbuka fiesta moja Musoma Chege na Temba walipuliziwa vitu kama spray wakakohoa kweliWatu wanacheza huku wana sime na mapanga viunoni
Nan kakwambia hawanaa ustaaa unaficha meng mkuuusasa mbona wakina Joh Makini hawana ngeo, waliishije huko bila kupigwa beto