Naomba kujuzwa kwanini Fiesta haitimbi Arusha

Naomba kujuzwa kwanini Fiesta haitimbi Arusha

Vp mzee mbona unatuquote na empty comment?
 
Hiyo fiesta mnayoidai inatija gani kijamii ,kiakili na kiroho?
Badala ya mijadala yenye kulitoa Taifa kutoka hatua A kwenda B,cyber crime na Mswada Wa ccm dhidi ya maono yatokayo kwa Raia yamewekwa kama zile enzi za " Baraza la waliomsulubu Isaac Newton"

Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
Ujinga ni kutokujitambua, wewe ni mmoja wapo unayetegemea kila jukwaa la JF linamdiscuss Mbowe na Magufuli
 
Naomba hao waandaji wa Fiesta wasijaribu kuonesha mahaba kwa chama cha Kijani....Itakula kwao
 
Kumleta nuh mziwanda ,Baraka deprince Cjui manfongo na walegevu wengineo nikutafuta kufungiwa miaka mitano mingne tenaa. Na walitufungia mda mrefu namna hyooo? Labda tamashaa lianzee asubuh ya sambilii nakuisha sakumi nambilii.
Nadhani watakuwa wamekuelewa..
 
Wewe Mkoa wa Singida sio mdogo kama unavyodhania. Inaonekana upo nyuma sana kwa habari za tz au huna gari ya kutembelea unapoenda mikoani so unaishia kuona stand ya bus na barabarani tu. Kwa taarifa yako mkoa wa Singida kwa sasa upo juu ya mikoa mingi sana hapa tz.
Halaf mwambie atofautishe mkoa na mji...kama ni udogo wa mikoa basi Dar ni mkoa mdogo kuliko yote TZ lakini ni jiji kubwa kuliko yote!
 
Nakumbuka iliwahi kwenda huko miaka ya nyuma ila wakaacha, wanaishia Moshi tu.Kama tuonavyo kwa sasa Fiesta inaenda mikoa mingi hadi mikoa midogo kama Singida na baadhi ya wilaya kama Kahama na Muleba, so hainiingii akilini ni kwanini waache kwenda mkoa mkubwa wenye fursa kibao kama Arusha. Eti machalii wa R mlimfanya nini Ruge? Au mnamtisha na mibangi yenu?
1. Unazungumzia ukubwa au udogo wa mikoa au miji/majiji?
2. Unapozungumzia udogo au ukubwa unatumia kigezo kipi - ukubwa wa eneo au wingi/idadi ya watu, kuku au ng'ombe?
 
Ila uongo mbayaaaa waandaaji walikosa pato kubwa kwa kutokufanya tamasha arusha..
 
Nakumbuka iliwahi kwenda huko miaka ya nyuma ila wakaacha, wanaishia Moshi tu.Kama tuonavyo kwa sasa Fiesta inaenda mikoa mingi hadi mikoa midogo kama Singida na baadhi ya wilaya kama Kahama na Muleba, so hainiingii akilini ni kwanini waache kwenda mkoa mkubwa wenye fursa kibao kama Arusha. Eti machalii wa R mlimfanya nini Ruge? Au mnamtisha na mibangi yenu?
Hahah eti mibangi yenu hahah
 
Back
Top Bottom