Naomba kujuzwa, Kwanini nchi za magharibi zinakomalia suala la kueneza ushoga ulimwenguni

Naomba kujuzwa, Kwanini nchi za magharibi zinakomalia suala la kueneza ushoga ulimwenguni

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Je, nini kipo nyuma ya pazia, lengo na dhamira yao ni nini?

Deep intelligence yao ni ipi? Juu ya suala hili ovu kabisa kuliko chochote kile hapa ulimwenguni.

Wajuzi na waona mbali karibuni tuchambue ni kipi kipo nyuma ya pazia kwa wamagharibi hawa, and there deep secret may be hided over this unsocial acts.
 
Ukiliangalia kwa macho mapana baadae itakuja kupigwa marufuku suala ya ndoa baina ya mwanamke na mwanaume, ili natural birth isitake over kwa kigezo cha kubalance population.

Then zitatengenezwa android bots kwa ajili ya kuzalishia watoto ambao watakua ni semi human kitakachofuatia ni loss ya generosity kwa human.

No human right protection kwenye kupromote ushoga lengo ni kuingiza hisia ya kuchukulia hili swala easy kwenye vichwa vya watu likizoeleka waende misheni nyingine.
 
Kuna mtu aliwahi kunambia huenda Agenda yao baada ya miaka kadhaaa itaibuka ugonjwa mbaya matokeo ya watu kuingiliana kinyume na maumbile. na matibabu yatakua garama mno
 
Nina swali Kwa nini wanaume wengi Africa wanawaingilia wake zao kinyume na maumbile?
 
Ili kufanya iwe rahisi kuwatawala watu. Maana yake mashoga wakiwa wengi unatengeneza watu dhaifu wengi ambao ni rahisi kuwatawala.

Na sio tu kuwafanya watu mashoga, kwa nyie mnaogoma kuwa mashoga, mnaletewa porn contents kama social medias ili ziwafanye muendelee kupenda ngono, kitu ambacho pia kinapelekea mwanaume kuwa dhaifu.

Na the ruling class wanajua, ukishaweza kumtawala mwanaume maana yake unakuwa umefanikisha azma yako. Hata familia nyingi, baba akishakuwa haeleweki basi ujue familia lazima ikose ustawi.. (take this comment to the bank)


Pitia huu uzi wangu utapata majibu
 
Ni agenda kufanya promo kumaliza kizazi kama ukimwi dhumuni lao...Ni ivi hata m arekani, england ,German kwa tafuta za uhalisia mashoga na huo ushoga sio mkubwa kabisa ..wanachofanya Kuna watu wachache ambao wanashiriki na kuwa na influence kubwa basi wanatumia kujitangaza na kufanya promo ukiwa nje unaona wanapiga promo Kwamba Kuna watu wengi ila kiidadi sio wengi sema wanatumia nguvu kulazimisha ulimwengu juu ya hilo jambo.

Nia yao kumaliza kizazi hamna kingine maana wanaume ndo tishio duniani ...Pamoja na kuleta ishu ya kumpa mwanamke nguvu na kuleta haki sawa hii yote kutoa mamlaka ya mwanaume duniani..
Kuna form jmaa alikuwa anajaza chuo fulani uko nje akakuta Kuna option ya sex Kuna male, female ,gay ,unisex yaani jamaa ni hatari ila iko chuo hakijawai kuwa na shoga hata mmoja kihistoria jamaa alifuatilia ili mradi tu wanalazimisha mambo.
 
Kuna mtu aliwahi kunambia huenda Agenda yao baada ya miaka kadhaaa itaibuka ugonjwa mbaya matokeo ya watu kuingiliana kinyume na maumbile. na matibabu yatakua garama mno
Hata sasa hivi ni rahisi kupatwa na maambukizi ya Virusi kwa anal sex kuliko Vaginal sex

Lakini lengo zaidi ni Population control Shoga hazai.
 
Je, nini kipo nyuma ya pazia, lengo na dhamira yao ni nini?

Deep intelligence yao ni ipi? Juu ya suala hili ovu kabisa kuliko chochote kile hapa ulimwenguni.

Wajuzi na waona mbali karibuni tuchambue ni kipi kipo nyuma ya pazia kwa wamagharibi hawa, and there deep secret may be hided over this unsocial acts.
NEW WORLD ORDER, THE GREAT RESET..
Chunguza hayo mambo kwenye mtandao na majibu yako yote hata usiyoyauliza utayapata..
"Uliona ufunguzi wa OLYMPICS za mwaka huu??"
 
Nawashangaa watanganyika kutuliza mambo ya wenzake wakati tuna Kesi nyingi humu JF na mitaani wanawake wanaingiliwa uani a.k.a Kula jicho ,uchawa ni mwingiiii
Hayo ni madhara ya kuangalia picha chafu (porn)
 
Je, nini kipo nyuma ya pazia, lengo na dhamira yao ni nini?

Deep intelligence yao ni ipi? Juu ya suala hili ovu kabisa kuliko chochote kile hapa ulimwenguni.

Wajuzi na waona mbali karibuni tuchambue ni kipi kipo nyuma ya pazia kwa wamagharibi hawa, and there deep secret may be hided over this unsocial acts.
Mkuu unaijua historia ya Vita vya pili vya dunia?

Ukijibu ndo tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom