Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Hujaona kaandika kuwa atajutia kumpa hela ya basi ALL Kamwe then akawatafutia daladala za Bonyokwa safari ya almost 2000 Km?? Kwenda na kurudi km 4,000 umejikunja kwenye costa?? Kwanini usijutie Ally Kamwe?Atajutia nini?
Uandishi wa siku hizi huo shida sana..hapo alikuwa anamaanisha hutojutia...J
Kama ataujutia kuna haja gani aje kujutia!
nenda nyuma ya tip top lounge kuna hotel bei zake 20kNaomba kuuliza naweza kupata hotel au lodge nzuri na yenye usalama maeneo ya manzese isiyosidi 25k , nataka kukaa siku tano bajet yangu ni hiyo.
Natokea Mbeya nakuja kuleta ndizi mabibo sokoni.
noma sana kwa mkwere paleTeh teh! Comment za wadau sasa.
Ushauri wangu:
Sijajua utafika muda gani, kama ukifika usiku hapo darajani uliza kwa mkwere, weka begi lako counter hapo agiza bia kunywa mdogo mdogo kwa kunusa kama IST mpaka asubuhi hazitazidi bia 5 ila wanazo ndogo tu na ni sh 2000.
Ikifika asubuhi chukua begi lako nenda CHAUMA kapige uswaki oga.
Hii tekniniki nimewahi kutumia Dodoma pale chako ni chako nilifika usiku kama saa 6, kulala lodge nikaona hasara. Nikaenda kwa mhudumu nikaweka begi nikala kuku na bea mpaka asubuhi.
wamepandisha lini mara ya mwisho nilikula castle ndogo 1700Teh teh! Comment za wadau sasa.
Ushauri wangu:
Sijajua utafika muda gani, kama ukifika usiku hapo darajani uliza kwa mkwere, weka begi lako counter hapo agiza bia kunywa mdogo mdogo kwa kunusa kama IST mpaka asubuhi hazitazidi bia 5 ila wanazo ndogo tu na ni sh 2000.
Ikifika asubuhi chukua begi lako nenda CHAUMA kapige uswaki oga.
Hii tekniniki nimewahi kutumia Dodoma pale chako ni chako nilifika usiku kama saa 6, kulala lodge nikaona hasara. Nikaenda kwa mhudumu nikaweka begi nikala kuku na bea mpaka asubuhi.
Watanzania wengi hawajui kuandika kiswahili fasahaJ
Kama ataujutia kuna haja gani aje kujutia!
Teh teh! Comment za wadau sasa.
Ushauri wangu:
Sijajua utafika muda gani, kama ukifika usiku hapo darajani uliza kwa mkwere, weka begi lako counter hapo agiza bia kunywa mdogo mdogo kwa kunusa kama IST mpaka asubuhi hazitazidi bia 5 ila wanazo ndogo tu na ni sh 2000.
Ikifika asubuhi chukua begi lako nenda CHAUMA kapige uswaki oga.
Hii tekniniki nimewahi kutumia Dodoma pale chako ni chako nilifika usiku kama saa 6, kulala lodge nikaona hasara. Nikaenda kwa mhudumu nikaweka begi nikala kuku na bea mpaka asubuhi.