Hahahah mkuu acha hzKuna huyu ana maduka mengi alafu ni Mkurugenzi wa makampuni yake Binafsi.
Ametoka kuchunga ng'ombe huko Usukumani. Anaitwa dmkali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah mkuu acha hzKuna huyu ana maduka mengi alafu ni Mkurugenzi wa makampuni yake Binafsi.
Ametoka kuchunga ng'ombe huko Usukumani. Anaitwa dmkali
Hahahah! Mkuu si kweli lakini? Ama nimekosea?Hahahah mkuu acha hz
Hahah humu kuna wadau wachokozi sana maana dah! Imebidi mi nicheke tuHahahah! Mkuu si kweli lakini? Ama nimekosea?
Hahahaha ww ushajijua ni poorbillioneair hapa huusiki mkuu watu wa vaisivesa yako ndio wanaitajika hapaNaskia kama naitwa humu[emoji53][emoji53]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hahahaha ww ushajijua ni poorbillioneair hapa huusiki mkuu watu wa vaisivesa yako ndio wanaitajika hapa
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hahahaha ww ushajijua ni poorbillioneair hapa huusiki mkuu watu wa vaisivesa yako ndio wanaitajika hapa
Kuna wakati huwa unaniboa[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji115]Cheki na bilionea Nyani Ngabu
Ninazo ila ni zile za masharti utaweza?[emoji144] [emoji144] [emoji24] [emoji15] [emoji23]Wakuu tukiwa TUNAELEKEA Mwisho WA mwaka Mwenzenu Nina shida FULANI Nataka nitoke kwenye maisha yaani na maana niuage Umaskini 2017. Kwa kutazama naona msaada pekee niliobakisha ni members WENZANGU WA jf. Naulizia tu nitajiwe mabilionea au wenye mamilioni ya hela ili niwafuate pm Kwa sababu Nina mipango mingi kishenzi tatizo ni hela tu. So kama unajijua wewe ni bilionea Naomba uni pm nikupe mchongo pengine unaweza kunisadia.natanguliza shukrani wenye MAHELA mengi mengi Kuanzia million 300 wani pm au nitajiwe majina Yao niwakute HUKOHUKO pm. Nimejitoa Kwa kutanguliza shukrani
HeheheheehhKuna wakati huwa unaniboa[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji115]
[emoji3] [emoji115] [emoji3] [emoji3] [emoji115]Heheheheehh
Hahahaha ...[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]MI NAIJUA TU LIST LA VILAZA HUMU
1.LE MUTUZ MTUMBOOZ
2.LIZABONI
3.RUTASHOBOLWA
4.JAMBAZI
[emoji109] [emoji109] [emoji12] kama katika list ya masharti haipatikani vifungu visivyo husisha ngono, kafara basi Nipo tayari tena tayari Sana. Nipo tayari ntaweza kuwezaNinazo ila ni zile za masharti utaweza?[emoji144] [emoji144] [emoji24] [emoji15] [emoji23]
Damu mbichi je?[emoji23][emoji109] [emoji109] [emoji12] kama katika list ya masharti haipatikani vifungu visivyo husisha ngono, kafara basi Nipo tayari tena tayari Sana. Nipo tayari ntaweza kuweza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] unataka kuwangaNinazo ila ni zile za masharti utaweza?[emoji144] [emoji144] [emoji24] [emoji15] [emoji23]
[emoji15] [emoji15] Ya kuku auDamu mbichi je?[emoji23]