Naomba kujuzwa mabilionea wanaopatikana jamii forum

Umeshindwa nini kusema hata ni kiasi gani unahitaji kwa hayo unayotaka kufanya.

Ukiwajua ndio uwaibie, uliyoyaandika hayaendani na mtu aliye tayari na pendekezo lililokaa vizuri kuzalisha.

Una yako wewe
 
Ninazo ila ni zile za masharti utaweza?[emoji144] [emoji144] [emoji24] [emoji15] [emoji23]
 
Ninazo ila ni zile za masharti utaweza?[emoji144] [emoji144] [emoji24] [emoji15] [emoji23]
[emoji109] [emoji109] [emoji12] kama katika list ya masharti haipatikani vifungu visivyo husisha ngono, kafara basi Nipo tayari tena tayari Sana. Nipo tayari ntaweza kuweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…