May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Ni kama tu tunavyowauzia Pamba.Ndio uzito wa fikra za Hawa viongozi badala ya kujenga refinery wanaexport na baadae wataimport kwa Dola aiseee very wonderful
Ukiona Wachina wanatugombania basi ujue ni kwa sababu sisi ni Wazuri sana....anawaonea wivu Wazungu.