Naomba kujuzwa Maghorofa yaliyopo Tabora

Naomba kujuzwa Maghorofa yaliyopo Tabora

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Nimeishia sana Nzega na Igunga sijawahi fika Tabora.

Sijui ni ushamba wangu ila kipimo cha mji kuwa mzuri kwangu mimi ni majengo mazuri marefu.

Kwa Tabora kupoje maghorofa marefu ni ya nini yana floor ngapi?

Ofisi gani za serikali mpya na je mitaa ya kishua ni ipi huko Tabora kuna maghorofa?

Je kuna uswahili Tabora?
 
Niliwahi kuapa kwamba sintokaa niishi Tabora, mwaka juzi nilipo kuja kumtembelea wife kikazi.....
Nilikuta mji umebadilika kqa kiasi kikubwa sana, hadi ikapelekea nifanye maamuzi ya kujenga kabisa.
Mkuu....
Binafsi niloshangaa kukuta Tabora kuna watu wameshusha apartments za maana na hizo ghorofa nimezikuta hadi Uledi kwa Warange hadi Ipuli ya Kazuge huko watu wamenyenyua maghorofa.
 
Back
Top Bottom